mambosafi1
New Member
- Sep 23, 2011
- 1
- 0
Nilijaza form za Massters (MSC.IT) application pale IFM August mwaka huu kwa ajili ya kuanza masomo January 2012. Kuna mtu yeyote anayejua matokeo yanatoka lini? Niko mikoani na sioni contact to whom to ask at IFM
Pili, nilli-apply KIU (Kampala Internationa University) mwezi wa nane na kwenye website yao wanasema masomao yanaanza 03 Octoba 2011. Nikiwapigia simu wanansema nisubiri. kuna mtu yeyote mwenye uzoefu na KIU? Sasa kama imebaki wiki moja matokeo ya application hayajatoka, mtu atawezaje kujiandaa na kuanza ndani ya wiki moja
Naomba ushauri wenu wana jukwaa!!
Pili, nilli-apply KIU (Kampala Internationa University) mwezi wa nane na kwenye website yao wanasema masomao yanaanza 03 Octoba 2011. Nikiwapigia simu wanansema nisubiri. kuna mtu yeyote mwenye uzoefu na KIU? Sasa kama imebaki wiki moja matokeo ya application hayajatoka, mtu atawezaje kujiandaa na kuanza ndani ya wiki moja
Naomba ushauri wenu wana jukwaa!!