mimi nilifikiri una matokeo! Kumbe na wewe hujui chochote!? Kichwa cha habari hakiendani na maudhui kabisa!! Kajipange ndugu yangu.Wadau mwenye latest news kuhusu hukumu ya mahakama nchini Kenya anijuze. Nadhani leo ndo iliamuliwa hukumu itolewe.
CORD watashinda kutokana na point of law
Matokeo yatatangazwa kesho jumamosi trh 30/03/2015 na jaji mkuu wa Kenya Dr Willy Mtunga amewaomba majaji wenzake wasizime simu zao maana wanaweza kuhitajika muda wowote.
Amewaomba mawakili wasizime simu sio majaji wenzake
CORD watashinda kutokana na point of law