Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Kijumba chake pale mtoni hakina kibali cha ujenzi...Maalim yupo Mtoni si kwa hisani ya SMZ bali ni sheria kabisa unajuwa kuwa Maalim ni waziri kiongozi mstaafu wa SMZ,na anapata haki zote za ustaafu wa nafasi hiyo kama wanazopata Bilali na Ramadhani Haji Faki?
Kwa hiyo ni kweli kabisa anaijuwa vizuri kwa kuwa ameshakuwa kiongozi wake na anaijuwa CCM na SMZ vizuri zaidi kuliko hata Shamsi Nahodha na Hamza