MovingForward
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 489
- 49
yetu macho na masikio
kama ulokuwepo lahau! ni serikali tatu au tugawane mbao. bravo maalim seif na amani karume. tukishirikiana tutagomboka. long live zanzibar. long live tanganyika. uadilifu muhimu.
ni mzenji halisi.
Vizuri sana kwa kujua hilo!CCM kiboko !
Ta'adabu!Field Marshall ES, are Serious?
Does Karume really has any leadership integrity/status worth comparing with anybody in the URT Government?
....Kuna watu/viongozi (Tanzania) zamani, walikuwa wakiitwa makatibu kata.......
Sometimes u can be good in analysis. Hebu na tuangalie hayo mawazo yako..
Mkuu Mkandara, Wanzanzibari waone hivyo hivyo, tena haswa inapotokea ni waarabu wa Pemba. Pamoja na Karume kuwa sio chaguo la Komandoo, ni Chaguo la Bara, kilichotokea anakijua, game lilivyochezwa kumdhibiti Komandoo na chaguo lake, analijua, na kilichomkuta Komandoo na chaguo lake na timu yake nzima sote tunakijua, (complete cut off).
Sasa Karume hataki yamkute yaliyomkuta mtangulizi wake, yeye naye analo chaguo lake, huku kukutana na Maalim ni caveat dhidi ya bara, just incase bara ina chaguo tofauti, then watamback Maalim moja kwa moja to hell with Muungano.
Karume has nothing to loose, siku zake zinahesabika anyway, hivyo kaamua bora Seif kuliko mgombea wa bara. Masharti ya siri baina yao yapo!. Anaeutaka urais wa Znz sio Karume ni Seif, aliyeumia ni Seif, aliyelialia ni Seif leo hawezi kwenda kumlamba miguu Karume for nothing huku watu wake wakiendelea kunyimwa Zan ID na japo walijitokeza kwa wingi day one baada ya mapatano, kesho yake waliendelea kususa kusubiri kauli. Mpaka sasa hakuna kauli yoyote kwa Seif waende, its not for nothing.
Seif naye hii ndiyo karata yake ya mwisho, bado anaamini alikuwa mshindi akipokwa tonge mdomoni, safari hii, alishajipanga sio asipokwe tena, bali kuwahamasisha Wapemba kususia kujiandikisha na kuhakikisha Pemba hakuna kitakachoendelea bora wakose wote at the expense ya damu za Wapemba. Walijipanga kufanya kitu mbaya, Huku kumuangukia Karume sii bure bali ni kuepusha yale yote waliyoyapanga.
Hapa sasa wanaozugwa ni Bara, lets wait for much surprises ahead.
SawaaMtajirusha wenyewe, roho na akili zenu
Kisemeni msizuwe, kilichomtoa kwenu
Na huku kaja mwenyewe, kajuwa hamna lenu
Ya bure yenu mayowe, huyu sasa siye wenu.
Chorus:Mtajirusha wenyewe roho na akili zenu na msema msizuwe kilicho mtoa kwenu.
Bado huna najiuliza kila siku na sipati jibu. tangu itokee maalim seif kumtambua mh karume, Cuf imekua inafanya sherehe mbali mbali kama vile maanadamano na mapongezano huku CCM wao wakikaa kimya bila ya kufanya sherehe? JEE KWANINI CUF WASHERHEKEE ZAID KULIO CCM?