Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani, Joyce Ndalichako, alisema shule kumi bora zilizokuwa na watahiniwa kuanzia 40 na zaidi,ni
1. Uru Seminari (Kilimanjaro),
2. Marian Wasichana (Pwani),
3. St Francis (Mbeya)
4. Canossa (Dar es Salaam).
5. Msolwa (Morogoro),
6. Feza Wavulana (Dar es Salaam),
7. St Mary Goreti (Kilimanjaro),
8. Abbey (Mtwara),
9. St Joseph's Iterambogo (Kigoma)
10.Barbro - Johnson (Dar es Salaam).
Wanafunzi kumi bora kitaifa
1. Lucylight Mallya,(Marian),
2. Maria –Dorin Shayo (Marian),
3. Sherryen Mutoka wa Barbro - Johansson,
4. Diana Matabwa (St Francis)
5. Neema Kafwimi (St Francis)
6. Beatrice Issara (Mary Goreti)
7. Johnston Dedani (Ilboru)
8. Samwel Emmanuel (Moshi Technical)
9. Bertha Sanga (Marian)
10.Bernadetha Kalluvya (St Francis).
Shule kumi za mwisho zilizokuwa na watahiniwa 40 na zaidi ni
1. Changaa, 2. Kolo, 3. Kikore, 4. Hurui, 5. Thawi, zote kutoka Dodoma
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara.
My take: Mtanisamehe mbona sioni shule za ndugu zetu na wanafunzi wao wakiongoza au ile nusu kwa nusu hai apply kwenye uwezo wa elimu hadi kwenye vyeo, naogopa wasije kuanza kulalamika kuwa aliyetangaza matokeo kapendelea.