MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

mufti kashawaambia jana alipoongea huko geita waache kulalamika waende darasani
 
Watanzania tunapenda kujadili mambo yasiyo na tija na kuacha mambo ya msingi, ndio maana kila kitu tunahusisha na dini... this is stupidity indeed. mimi siwezi comment nonsense like this.. Sorry
 
Watanzania tunapenda kujadili mambo yasiyo na tija na kuacha mambo ya msingi, ndio maana kila kitu tunahusisha na dini... this is stupidity indeed. mimi siwezi comment nonsense like this.. Sorry

Lakini ume-comment tayari!!!
 
Marks sio ishu mkubwa. Kama huamini 'unda' tume uchunguze vigezo vilivyotumika na TCU kuwapa wanafunzi chance za university mwaka huu...

mkuu vigezo ni kulingana na Cut off point. Tusije kuwatengenezea mazingira ya kuwalaumu mkuu! TCU wametoa uhuru kwa vyuo husika kama ni diploma,cheti au shahada! Kama umekosa kwenda shahada na una 4.5 GPA ya formu six uliruhusiwa kwa mara ya pili upeleke jina Tcu upya ili upangiwe chuo. Waislam ,tukalie deski kazini hamna viti maalum!
 
Wakuu tuache kuleta hoja zisizokuwa na tija kwetu sote. Hili swala la mitihani ya form four has nothing to do with Islam or Christianity or paganism. Ni swala la vijana kuweka bidii. Sasa tunafika mahala haya maswali ya dini yanaanza kubore sasa..na anayeyaongelea anaonekana kichwa cha mwendawazimu.......Nani aliwaambia kwamba kuna affirmative actions kwenye mitihani? Swala ni kuweka bidii tuu. Wazazi na watoto washirikiane katika kuongeza ufanisi wa watoto mashuleni. Tuache hizi cheap politics za dini. Huwezi kuwa daktari kama hujafaulu mtihani wa udaktari..hata kama ungepewa nafasi ya bure kwenda Muhimbili. Utafeli tuu. Tusaidiane vijana wetu wasome.

Udini upo mkuu,kwanin Kikwete asomeshe Wanawe shule za Katoliki(Lushoto) na si za Kiislam(Kirinjiku-Same k'njaro) Kikwete hana udini ila alitafuta jinsi ya kupata kura za islams cheaply
 
Kwa jinsi mambo yanavyoenda kuna uwezekano mkubwa kukatokea maandamano kwa waliofeli maana ndg zetu wa Pasu kwa pasu wameshaibuka na hoja za kuwa watu flani wanapendelewa, zaidi ya hapo mwanasiasa Mbatia wa NCCR-Mageuzi akadai usahihishaji urudiwe! sasa kuna hili la leo Tanzania Association of Managers nad Owners of Non -Government Schools and Colleges nao wanadai matokeo yafutwe na mtihani urudiwe (MICHUZI: chama cha shule na vyuo binafsi chataka matokeo ya mtihani wa fom foo yafutwe, usahihiswhe upya)! Hii kali...yaani hawa nao ni nani? wanatambulika kisheria? hawa si ndo wale wenye shule uchwara wanaziita academy aka international schools nyingine hata hazijasajiliwa? leo hii wana sauti kama nani? scholars au nani? Hii political mobilization ya watu kwenye mambo yasiyo na tija kwa ustawi wa taifa namna hii unatoka wapi? Hivi tunajua neno "standards"? Kwa jinsi ninavyoona kuna uwezekano wa matokeo ya mwaka kesho yakachakachuliwa ili kuridhisha umati maana siasa sasa inaingizwa kila mahali!

Hivi utaratibu wa kurudia mtihani ukifeli kama private candidate, umeondolewa nini?
Kweli tuna umbwe la uongozi! Tutaona mengi mpaka 2015!



umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu
 
umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu

Sijaelewa kitu hapa umeandika kwa lugha gani? fanya editing usiunganishe maneno zingatie matumizi ya vituo, herufi kubwa na R na L
 
umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu
Kajifunze kuandika Kamanda!
 
umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu

mhh hapa kazi ipo, mungu ibariki tanzania
 
umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu

I am lost!!! Hivi MODS mnaweza kufikiria kufanya mchujo wa watu maana kuna watu wanaojiandikisha siku hizi hadi inaboa maandishi yao.
 
umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu

wakuu mmeama mada gafla.

Tatizo limeanzia kwa huyo Nyondoloja.... Mada yote kaichafua
 
Another useless post for 2day. 1 important question unamtambuaje mtu imani yake kwanza! Kwa kuangalia jina lake! Give me a break plz. This is upuuzi wa kupuuzwa tu. Tunahangaikia mazingira ya elimu yaboreshwe kila mtoto wa Mtanzania bila kujali itikadi ya dini, siasa, vigezo vya uchumi, kabila, rangi, anufaike...hao wanafunzi unaoshangilia wamesoma shule zipi, zinamilikiwa na nani, kwa manufaa ya nani

Je unajua imani za wote waliofeli sana kuliko wote, je shule zilizoongoza kwa kufanya vibaya, zina watu wa itikadi gani, jameni onesheni basi u great thinker kwa kile mnachowasilisha hapa
 
Back
Top Bottom