Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
MATOKEO YA DARASA LA 7 NI KITUKO NA NI AIBU KWA TAIFA
MCHAMBUZI: IMORI MARK
MATOKEO YA DARASA LA 7 NI KITUKO NA NI AIBU KWA TAIFA TOFAUTI NA ILIVYOWAKILIWASHWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA WAZIRI HUSIKA.
WAZIRI ALISEMA IDADI YA WALIOENDA SEKONDARI IMEONGEZEKA UKILINGANISHA NA MWAKA JANA LAKANA JE WAJUA UFAULU WAO???
WALIOPATA:
A - 3,087,
B - 40,683, C - 222,103
CHUKUA A+B+C = 265,873
WALIOCHAGULIWA KWENDA KIDATO CHA KWANZA NI560,706.
KWA HIYO WATAHINIWA 294,833
WAMECHAGULIWA KUTOKA DARAJA "D".......WAKATI DARAJA LA UFAULU KWENDA
SEKONDARI NI KUANZIA "C" ....YAANI ALAMA 101/250.
ZAIDI YA 51% YA WALIOCHAGULIWA NI KUTOKA DARAJA "D" YAAN CHINI YA ALAMA 100/250.
JE, KTK HAWA 294,833 TUTAKOSA WASIOJUA KUSOMA NA KUANDIKA VIZURI?
--------------------------------------------------
UPDATE:
Mroki Mroki aka Father Kidevu wa mrokim blog anasema:
"Taarifa zinasema kuwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inawataka Wazazi, Walezi na wanafunzi kufika katika Ofisi za Elimu Mkoa au Wilaya zao ndipo majina ya Wanafunzi na Shule walizopangiwa yanapatikana."
chanzo. http://freebongo.blogspot.com/2012/12/matokeo-ya-darasa-la-7-ni-kituko-na-ni_26.html?utm_source=feedburner&utm_medium=feed&utm_campaign=Feed%3A+Mpekuzi+%28MPEKUZI%29
chanzo. http://freebongo.blogspot.com/2012/12/matokeo-ya-darasa-la-7-ni-kituko-na-ni_26.html?utm_source=feedburner&utm_medium=feed&utm_campaign=Feed%3A+Mpekuzi+%28MPEKUZI%29