JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka leo Jumanne Septemba 27, 2022 amesema chama hicho kimefuta matokeo ya chaguzi tano za UVCCM pamoja na kusimamisha chaguzi zaidi ya tatu za Jumuiya ya Wanawake, kutokana na ukiukwaji wa maadili, rushwa na upangaji safu za uongozi.
Chanzo: MwanaHalisi
Chanzo: MwanaHalisi