Wenje ,,,masha ,,ngwaru..makongoro na kimbisa would have made dream team TanzaniaWabunge wa ccm kwa kauli moja wamewapigia kura za hapana wenje na masha katika uchaguzi wa wabunge wa bunge la afrika mashariki.
Maoni yangu:
Tuwaachie CCM waingie kwenye vikao vya upinzani ili wawachague wenyewe wawakilishi wanaowataka.
Kama chama kimoja kinaweza kuleta majina ya wagombea walioidhinishwa na makundi mawili tofauti ndani ya chama kimoja(factions) na wote wakawa halali na chombo cha kutunga sheria nacho kikaona kila kitu kiko sawa na hivyo ni halali kuendelea na uchaguzi,ni wazi nchi haina haja ya kuwa na katiba wala sheria bali tuongozwe na kauli na mitazamo ya watu wachache waliopewa dhamana.
Hivi kweli katibu wa Bunge anatamka kutambua CUF A na CUF B ndani ya chombo cha kutunga sheria na wabunge wakaridhika kupokea majina wa wagombe kutoka CUF A na CUF B?
CUF A na CUF B vyama hivi vimesajiliwa wapi na lini vilipata usajili wa kudumu?
Ni wazi tumebaki na mhimili mmoja tu unaonekana kuheshimu sheria na katiba ya nchi na hata swala hiki likipelekwa mahakamani ninahaki uchaguzi wote huu unaweza kutangaza kuwa ni null and void bila kujali tatizo ni la wagombe wa chama kimoja tu maana huenda mchakato mzima ukawa umeingia najisi.
Hii ni nchi ya ajabu sana.
Yaani unategemea uwe mpinzani wa CCM halafu wakupigie kura? Au Upinzani wanaweza kuwapigia kura CCM? Unalowaza haliwezi kutokea isipokuwa tu, siasa za wanaogombea zikiwa ni siasa zisizo na takataka ambazo angalau zina apreciate pale mpinzani anapofanya vyema na kukosoa pale panapostahili... Angalia ACT unaweza kuelewa.... tatizo siasa za Kitanzania ni chafu sana, ukwia upinzani hujengi hoja, umaarufu wako ni kumtukana au kumkashifu mpinzani mwenzako... Mauaji ya Kimbarii na ubaguzi vilianza hivyo hivyo kwa siasa za kijinga na ndio maana hakuna kupigiana kura...Wabunge wa ccm kwa kauli moja wamewapigia kura za hapana wenje na masha katika uchaguzi wa wabunge wa bunge la afrika mashariki.
Maoni yangu:
Tuwaachie CCM waingie kwenye vikao vya upinzani ili wawachague wenyewe wawakilishi wanaowataka.
Umeonaeee. Ofcourse sikukubaliana na mfumo CDM walioutumia kupata majina hayo. Na naamini mfumo wao...na huu wa bungeni unahitaji marekebisho. Lakini ilitakiwa CCM waangalie maslahi mapana ya nchi. Sasa kule tunaenda kuzidiwa kura na nchi zingine kwasababu ya upungufu wa busara kwenye chama tawala. Hizi ndio rostam aliita siasa uchwaraDah,
CCM bana,
Yaani wako tayari Nchi kama nchi ipate wawakilishi pungufu kuliko watoke CDM,
Wala hata sio kwamba CDM wakipeleka watu basi nafasi ya CCM itapungua, la hasha, wala CDM sio competitor wa CCM kabisa kule EALA.
Tena kule wakifika, wote wanajulikana kama wawakilishi wa Tanzania, wala sio kwa vyama vyao.
Binadamu hawa waitwao Fisiemu wana Roho Mbaya sana aisee,
Heri kuishi na Mchawi ndani kuliko kuishi na hawa Fisiemu
chadema wanashindana na CCm wakati hawawaweziWatanzania wengi umeuliza lini kujua wanashangaa? Tuache ushabiki wa ovyo!!
hahahahah mkuu kweli wamekatwandio chadema na yule mwandawazimu wao wa IG wanadai wata mimpeach magu kweli...wenje X
masha X
Nilichomwelewa ndugai alisema masha na wenje watapigiwa kwa ndio au hapana ambayo nahisi ingesaidia wapite kirahisi tofauti na kupiga kura lakini katibu akawauliza wakasema kura zipigwe kwenye karatasi ya kupigia kura nadhani hapo ndo walijiingiza shimoni manake ule wa ndio hapana mzuri manake kila mmoja ana kura zaidi ya 100 imagine sauti za ndio ambavyo zingesikika.Umeonaeee. Ofcourse sikukubaliana na mfumo CDM walioutumia kupata majina hayo. Na naamini mfumo wao...na huu wa bungeni unahitaji marekebisho. Lakini ilitakiwa CCM waangalie maslahi mapana ya nchi. Sasa kule tunaenda kuzidiwa kura na nchi zingine kwasababu ya upungufu wa busara kwenye chama tawala. Hizi ndio rostam aliita siasa uchwara
Tena wangemweka mwanamke yoyote tu na uhakika asingeshinda mbele ya wenje na masha wasiwasi wao tu CDMmliambiwa muweke wanawake mkajifanya jeuri
Mkuu CCM walikua wamejipanga kuyapinga majina ya chadema leo kwa njia yoyote. Hata kama ingekua kura ya wazi....wangesema sioooooo...na hata kama spika angeamua kuwabeba cdm na kusema kura za ndio zimeshinda, CCM wangesema kura zipigwe (maana kanuni zinaruhusu). Bottom line ni kwamba kwa ccm...falsafa ni chama kwanza taifa baadae.Nilichomwelewa ndugai alisema masha na wenje watapigiwa kwa ndio au hapana ambayo nahisi ingesaidia wapite kirahisi tofauti na kupiga kura lakini katibu akawauliza wakasema kura zipigwe kwenye karatasi ya kupigia kura nadhani hapo ndo walijiingiza shimoni manake ule wa ndio hapana mzuri manake kila mmoja ana kura zaidi ya 100 imagine sauti za ndio ambavyo zingesikika.
Dah,
CCM bana,
Yaani wako tayari Nchi kama nchi ipate wawakilishi pungufu kuliko watoke CDM,
Wala hata sio kwamba CDM wakipeleka watu basi nafasi ya CCM itapungua, la hasha, wala CDM sio competitor wa CCM kabisa kule EALA.
Tena kule wakifika, wote wanajulikana kama wawakilishi wa Tanzania, wala sio kwa vyama vyao.
Binadamu hawa waitwao Fisiemu wana Roho Mbaya sana aisee,
Heri kuishi na Mchawi ndani kuliko kuishi na hawa Fisiemu
Sexist!She needs a husband..or atleast A child......
Atatulia