Alishindwa hata kumuweka yule mtoto wa Ndesamburo? Au alimnyima penzi?udikteta tu wa mbowe kuwabeba watu wake
CHADEMA hakuna demokrasia
Mpalestina hashaurikiDuh umeme umekatika, Tanesco bwana .
Ila mbowe kwanini aliweka wagombea wawili? Hana mshauri au nae ashauriki?? Angeweka hata 3 kuzuga dooh
Mbowe alishakula pesa ya masha na WENJEsasa kwanini CDM waliweka wagombea wawili.
Utafikiri ulikuwepo sasa wakati anapewa hizo helaMbowe alishakula pesa ya masha na WENJE
Bora wewe umeona hicho mimi mwenyewe nimeshangaa jamaa yupo kimya kweli jela inanyooshaLema naona hajihusishi kabisa na hili...
Good questionSio wivu yaani hii thread inaonyesha wabongo tulivyo wajinga;Nina uhakika Lau Masha ana kiingereza kizuri zaidi ya Lisu,Shivji,late Mvungi,je ina maana ana ujuzi kuliko hao?
CDM hakuna demokrasia walidhani hapa ni mlimani city kama walivyompitisha Lowasa bila kupingwaudikteta tu wa mbowe kuwabeba watu wake
CHADEMA hakuna demokrasia
Mbowe alishakula pesa ya masha na WENJE
Ukizoea kula nyama ya mtu huachi. Jamaa alishapiga za Lowassa amezoeaUtafikiri ulikuwepo sasa wakati anapewa hizo hela
Mbona wapo live.. TBC