matokeo ya BSS 2012..tetesi za mwanaJF kuwa kweli

matokeo ya BSS 2012..tetesi za mwanaJF kuwa kweli

wakuu naomba tujikumbushe tetesi ya mwanajf mwenzetu ambaye alitueleza kuwa mwaka huu anayeshinda ni mwanadada kutoka zanzibar.kweli JF ni zaidi ya habari tumpongeze na tujipongeze wanaJF

walter chilambo
 
Dah! JF ni zaid ya Great Thinkers kwa kweli! Salute to Fugees
 
ki ukweli salma ni mkali, ingawa walter pia yupo juu ila tudumishe muungano kwa njia hiyo pia sio mbaya.
 
Liko wazi hilo mie nimetazama kwa muda mfupi 2leo na nimeng'amua its plain and clear wanampa salma
 
Duh! Ni noumer...siasa had kwny entertainments! Wapi CUF na hakiiiiiiiiiiiiiii...
 
kama ndivyo basi ina maana matokeo yalipangwa! This is none sense then!
 
Wabongo kwa pye pye pye siasa mnaleta hadi kwenye burudani, sipati picha angeshinda huyo Mzenji,kimyaa !
 
ilikuwa lazima iwe vile, nimefurahi, salma ni mkali lkn kina urojo walishindwa kupiga kura, ila wote wawili ni wanamziki kweli sio wacheza shoo,
 
Walter Chilambo kashinda kihalali matokeo ya wapiga kura mambo ya siasa hayana nafasi, kila mshindi kafanyiwa promo ya kutosha, wapemba hawapigi simu wameniangusha, nilipenda salma ashinde ila kila mtu anabahati yake, wanawake wanapiga sana kura ndiyo walimpenda Walter. Bigup mshindi.
 
Back
Top Bottom