GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Mpaka sasa Gwajima anaongoza kwa magoli 3.
Mashambulizi toka ile timu nyingine ni makali lakini kutokana na kuwa katika hali ya panick wamekuwa wakiupiga mpira nje mara kwa mara!
Nini kitajiri baada ya dakika tisini! Macho na masikio yetu uwanjani!!!
Mashambulizi toka ile timu nyingine ni makali lakini kutokana na kuwa katika hali ya panick wamekuwa wakiupiga mpira nje mara kwa mara!
Nini kitajiri baada ya dakika tisini! Macho na masikio yetu uwanjani!!!