Safi sana Mbeya.
Matokeo ya ubunge vituo viwili vya block T - Mbeya Mjini ni
Kituo A
chadema 140,
ccm 33,
Kituo B
chadema 115,
ccm 15.
Nita-update mara nipatapo matokeo mengine.
Pia, vijana wamejitokeza kulinda kura vituoni kuhakikisha hakuna kinachoingia au kutoka.
Jimbo la Mbeya Mjini, Kata ya Nzovwe, Kituo cha Hospitali ya Mkoa
URAIS
CCM - 50
CHADEMA - 128
TLP - 1
UBUNGE
CCM - 41
CHADEMA - 188
UDIWANI
CCM - 53
CHADEMA - 171
CUF - 4
Mbeya zaidi
Mwenge A:
Urais:
Dr Slaa 99, Jk 55, Lipumba 2
Ubunge Sugu 115, Mpesya 51
Mwenge B
Urais:
Slaa 105, Jk 61, Lipumba2
Ubunge: Sugu 120, Mpesya 37
Mwenge C
Urais: Slaa 113, Jk 48
Ubunge: Sugu 130, Mpesya 33
CCM watabadilisha matokeo
Tukuyu ushirika,
Urais:
chadema - 700,
ccm 54,
Mbeya mjini kituo cha azimio,
Urais:
chadema - 101,
ccm - 43,
Kituo cha Mwenge,
Ubunge:
chadema - 130,
ccm - 33,
Kituo cha kilimo 1,
Urais:
chadema - 119,
ccm - 29,
Kituo 2,
Urais:
chadema - 109
ccm - 39.
Habari toka Vwawa, chadema inaongoza mji unazizima kwa shangwe!
Mbeya oyeee!
it is pm now. I hope i am not dreaming. It is about 50 years since independence. In 1961, it was 50 years since majimaji war! Does it mean that there should be a huge change every 50 years? So ccm can come in again in 2060 or thereabout. Hope i am not dreaming!