Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
kwa kweli mbali na ajira ambazo zimekuwa zikitolewa kindugu, imefikia hatua nafasi nyet kama naibu waziri
wa elimu anapewa mtu ambaye kusoma speach kama mtoto wa form one shule ya kata. Hii ni aibu kwa taifa mbali na kudumaa kwa uchumi kutokana nafasi ambazo zinatakiwa kushikiliwa na watu wenye uwezo kupewa vihio kwa ajili ya undugu na urafika, imefikia hatua ya kutuvua nguo Watanzania mbele ya mataifa.
wa elimu anapewa mtu ambaye kusoma speach kama mtoto wa form one shule ya kata. Hii ni aibu kwa taifa mbali na kudumaa kwa uchumi kutokana nafasi ambazo zinatakiwa kushikiliwa na watu wenye uwezo kupewa vihio kwa ajili ya undugu na urafika, imefikia hatua ya kutuvua nguo Watanzania mbele ya mataifa.