Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Mdau wa Tabora amenipasha kuwa Sitta anaelekea kushinda kwa Kishindo Urambo mashariki, Prof. Kapuya hali yake mbaya huko Kaliua ana mchuano mkali na CHADEMA, Rage anaelekea kushinda kwa kishindo Tabora mjini, Rostam anapumulia machine ICU