baada ya matokeo ya mijini mingi kuonyesha cdm wanaongoza, sasa matokeo ya vijijini yameanza kutolewa huku ccm ikiifunika kwa mbali chadema! hii nafananisha na mchezo wa marathon ambako watu huanza taratibu na kuongeza kasi kadri mda unavyoenda....
ukisuppport habari zako na takwimu itakuwa vizuri zaidi