Matokeo kidato cha pili kimikoa

Matokeo kidato cha pili kimikoa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,179
Reaction score
829,141
Evidence: Kwanini mikoa inayofanya vibaya kwenye elimu ndiyo inayopendwa na CCM?
---------------------------------

Mikoa 10 iliyofanya vizuri zaidi katika mtihani wa kidato cha pili 2018;

Arusha - Chadema
Njombe - CCM/Chadema
Iringa - Chadema
Mbeya - Chadema
Kigoma - ACT-Wazalendo
Kilimanjaro - Chadema
Kagera - Chadema
Manyara - Chadema
Shinyanga - CCM/Chadema
Mwanza - Chadema/CCM

Mikoa 10 iliyofanya vibaya zaidi matokeo ya kidato cha pili 2018.

Lindi - CCM
Mtwara - CCM/CUF
Mara - CCM
Ruvuma - CCM
Tanga - CCM
Katavi - CCM
Tabora - CCM
Rukwa - CCM
Morogoro - CCM
Dodoma - CCM

Jr
 
Naunga Mkono Hoja
Japo Upuuzi Utaambiwa Eti Hadi Watu Wa Takwimu Wakati Mambo Yapo Wazi
Tumeona Thread Inajisimamia Yenyewe
Kuwa Ipo Neutral Kwenye Ukweli Tu
 
Hoja fikirishi Sana hii...naogopa kutia neno nisijeitwa mchochezi.
 
Kama naona hivi msonde akipigiwa sm kutoka ngazi ya juu kuwa matokeo ya kidato cha NNE azingatie chama tawala
 
Evidence: Kwanini mikoa inayofanya vibaya kwenye elimu ndiyo inayopendwa na CCM?
---------------------------------

Mikoa 10 iliyofanya vizuri zaidi katika mtihani wa kidato cha pili 2018;

Arusha - Chadema
Njombe - CCM/Chadema
Iringa - Chadema
Mbeya - Chadema
Kigoma - ACT-Wazalendo
Kilimanjaro - Chadema
Kagera - Chadema
Manyara - Chadema
Shinyanga - CCM/Chadema
Mwanza - Chadema/CCM

Mikoa 10 iliyofanya vibaya zaidi matokeo ya kidato cha pili 2018.

Lindi - CCM
Mtwara - CCM/CUF
Mara - CCM
Ruvuma - CCM
Tanga - CCM
Katavi - CCM
Tabora - CCM
Rukwa - CCM
Morogoro - CCM
Dodoma - CCM

Jr
Hii yaweza kuwa moja ya sababu. Katika juhudi za kuunga mkono wanaotawala, maeneo haya wanafunzi na waalimu huwa hawakai madarasani. Kila shughuli ya kichama hulazimishwa kushiriki kwa nguvu, iwe mkutano wa balozi wapi, awe m/kiti wa Kijiji wamo, iwe diwani wamo, mbunge, mnec na hata yule was taifa. Shule sio kipauo mbele bali ushindi wa kishindo wa chama chetu. Hiyo mikoa mingine ni kichwa ngumu, hawasikii hili wala lile katika kuunga juhudi, matokeo yake ndo haya, kuwa viherehere wa kuwa wa kwanza kwenye mitihani ya kitaifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom