Tunaangalia namba Badala ya ubora KARAGABAHO. twafa!Wakuu, nawasalimu!
Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16.
S............ F 16 I CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' FREN - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
Yaani mim niumize kichwa kwa mada za kikuda,, sasa Unataka nimpe dondoo makini ili amshushe daraja mtoto wa watu?Siku zote ukimya!!huficha uelewa wako juu ya jambo fulani!!kwa kauli yako hiyo, tu nimeshakuelewa kiwango cha elimu yako!!(huenda hata kiwango cha elimu ya sekondari hukufikia!!)au vinginevyo!!kwani hoja ya jamaa iko wazi kabisa kwa mtu aliyepitia elimu ya sekondari huko nyuma, anafahamu kuwa ukipata F, ya mathematics, itaathiri matokeo yako tu!!wewe una kuja na hoja nyingine kabisa!!!
Aende diploma ya kitu anachotaka kusomea. Ushauri wa bure toka kwa legendWakuu, nawasalimu!
Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16.
S............ F 16 I CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' FREN - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
OkHoja yangu ni kukurejesha kwenye hoja ya msingi, umeshasema ni masikhara na umejibu hivyo... ni kuhusu utaratibu tu wala sibishani.
Matokeo yake yanashangaza sana kwa kweli, amewezaje Phys kupata C,Chem kupata B halafu Maths apate F?????Hapa kuna namna si bure.Wakuu, nawasalimu!
Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16.
S............ F 16 I CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' FREN - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
Anaweza kwenda PCB na F ya Maths?Aende PCB dogo. Achana na penat
Hkl asiiguse haina soko
Yawezekana MkuuMatokeo yake yanashangaza sana kwa kweli, amewezaje Phys kupata C,Chem kupata B halafu Maths apate F?????Hapa kuna namna si bure.
Hili nalo swaliAnaweza kwenda PCB na F ya Maths?
Wakuu, nawasalimu!
Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16.
S............ F 16 I CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' FREN - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
Matokeo yake yanashangaza sana kwa kweli, amewezaje Phys kupata C,Chem kupata B halafu Maths apate F?????Hapa kuna namna si bure.
Mkuu, msamehe huyo ndugu. Januari iba mambo sana hii...Hujajibu kitu...,rudia kusoma alichoandika mleta mada
Leta matokeo yako yenye penatHeee!!wapi ambapo maelezo ya mleta mada hayajakamilika?!!hoja mbona inaeleweka, kuwa inakuwaje mtu anapata F' ya hisabati lakini bado ana daraja la kwanza?!!!hapo ndipo panatakiwa majibu kwa anayefahamu?!
Walimu wa hesabu watakuwa wabovu mtoto mfano huyo kufaulu physics ukoo rahisi kufaulu physics akafeli hesabuHisabati ( mathematics) wamefeli wengi sana kusema kweli.
PCB hawezi kwenda kwa vile hesabu kapata Mswaki! CBG ndiyo anaweza kwenda!Aende PCB dogo. Achana na penat
Hkl asiiguse haina soko
Hiyo kitu haina mashiko tena! Ulikuwa uonevu tu! Siku hizi hakuna cha penalty wala mjombake! Hiyo ilikuwa miaka yetu yaani hapo angeshushwa mpaka div. 3 pamoja na points zake hizo 16. Ila ulikuwa uonevu tu!Wakuu, nawasalimu!
Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16.
S............ F 16 I CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' FREN - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
Wakati huo st. francis wote wamepata 'A' kaliHisabati ( mathematics) wamefeli wengi sana kusema kweli.
Daaa!!!kumbe mko wengi , wewe ni generation ya ngapi labda tuanzie hapa, tusije tukawa tunabishana na wajukuu!!yaani hujui kuwa MTU ulikuwa ukipata f ya hisabati inaathiri daraja lako LA ufauru?pathetic!!!Leta matokeo yako yenye penat