Matokeo Kidato cha Nne 2012 ni FEKI (yamepikwa) - GREEN ACRES

THIS IS tanzania bwana ...hata ukitaka MOTO UZIMWE KWA PETROLI INAWEZEKANA.SEMBUSE KUGEUZA NA KUAPCHIKA MATOKEO.

ALAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!.HII NDO TZ BWANA NCHI RAHISI KUONGOZA KULIKO ZOTE DUNIANI.TZ YENYE WATU RAHISI KUWASHAWISHI NA WAKAKUKUBALI.

ALAAAAAAAAAAA.KUBADILISHA MATOKEO TU MBONA KUNA MENGI CHINI YA KAPETI!!!!!!!!!
 
Ni bahati mbaya tu. Unajua kwenye ku-edit blue 2c iliingiwa na hacker kwa hiyo mchakato ukawa hauko stable! Lakini kwenye column ya majina unaweza ku-delete the una-copy na ku-paste. Hata hivyo tumelichukua kwa uchunguzi zaidi.
 
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni
kumbe mbatia niliona anapiga porojo za siasa sasa nimeamini ukweli shukuru kawambwa
anaitaj kujiuzulu na kutuwekea mtaala mahususi wa elimu yetu

ndugu zanguni kwa mliosikia redio clouds masaa mawili yaliyopita walikuwa wakimhoji
mwalimu mkuu wa shule moja aliesema wazi matokeo ya form four ni feki
wakati anahojiwa kwa nini anasema hivyo nahisi kama mtanzania ulimsikia ulipata
hamu ya haja kubwa gafla .......

Mwalimu mkuu huyo aliekuwa akihojiwa anasema amekuwa wa kwanza kulalamika matokeo yale
na kusema kumekuwa na matatizo mengi pale kwenye baraza na bado awataki kuyakubali

1..usahihishaji
anasema kumekuwa na matatizo makubwa kwenye usahihishaji na kusema kama waislamu wangekaa
kimya kipindi kile kwa kukubali matokeo yale basi upumbavu huu ungeendelea na anashangaa
mpaka leo bado unaendeleea.....

2..hili ndilo la kustaajabisha akataja na majina kabisa akasema ana wanafunzi wake kwenye shule
walishindwa kufanya mtihani kutokaa na na sababu mbali mbali lakiiiiiiiiniiiiiiiiiiiiiiiii
ameshikwa na butwaaaa kukuta wanafunzi zaidi ya watano katika hao wasiofanya mtihani majina
yao yako kwenye ubao wa matokeo na tena wana div ii na wengine iii

akasema kwa hili yuko radhi kutoa ushirikiano na serikali kuwadhihirishia hawa watoto awakufanya mtihani kabisa kabisa

sasa ndugu zangu watanzania hivi unajua hata wewe ulishindwa kufaulu la saba yawezekana ulifaulu matokeo yako akapewa asha ama mwakatobe ,ama mwafilimbi ,,ama mwaigomole??sisemi kufeli maana naamini akuna kufeli la saba bali kushindwa kufaulu

mh waziri natamani kusikia lafudh i yako kwenye hili nini kinaendelea.....
Ni wangapi jamani wako vyuoni kwa style hii wapendwa katika bwana nashindwa kuendeleaaaa nimepatwa na uwoga kwenye mikono namini waziri atarudi tena kutusaidia hili

mama yetu yule anaekuwaga wa kwanza kuroppoka matokeo nae atusaidie kwa hili

Mwl. Bujugo katika maelezo yake, na baada ya kufuatilia nimeona uongo wa kwanza huu hapa:
"Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts'.

Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa".


Matokeo yanayoonekana mtandaoni ni:
S1197/0173M34FLDCIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F
sioni Bookkeeping wala commerce. Naomba wengine mthibitishe kwa kuangalia matokeo yenye namba hiyo please. Matokeo ya shule hiyo haya hapa:
https://www.jamiiforums.com/matokeo2012/data/s1197.htm

Napata sababu za kutilia mashaka tuhuma za Mwl. Bujugo.
 
WAKUU KUNA MUUNGWANA AMEMWAGA RADHI TAYARI EMBU CHUNGULIA HII THREAD


  • user-online.png
    VUTA-NKUVUTE

    Today 15:49
    #1
    JF Senior Expert Member Array


    Join Date : 17th November 2011
    Posts : 1,569
    Rep Power : 684
    Likes Received 561
    Likes Given 116



    [h=2]
    icon1.png
    Breaking News:NECTA yatikiswa;yacharuka[/h]
    Taarifa nilizopata hivi punde zinadai kuwa NECTA imeguswa vya kutosha na tuhuma zilizoripotiwa leo kuwa matokeo ya Kidato cha Nne yamechakachuliwa. Tuhuma hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Sekondari ya Green Acres Ndugu Julian Bujugo. Tangu saa sita mchana wa leo,NECTA imeyapitia tena matokeo hayo. NECTA imeapa kumburuza Kortini Bwana Bujugo ikithibitika kuwa tuhuma hizo si za kweli. VUTA-NKUVUTE wa Lumumba,Dar​




 
Mode unaweza iunganisha kiungwana na mh...akawa incharge tafadhali tupate maoni ya pamoja
 
Narudia tena:

Baada ya kufuatilia maelezo ya Mwl. Bujugo, nimeona uongo wa kwanza huu hapa:
"Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts'.

Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa".


Matokeo yanayoonekana mtandaoni ni:
S1197/0173M34FLDCIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F
sioni Bookkeeping wala commerce. Naomba wengine mthibitishe kwa kuangalia matokeo yenye namba hiyo please. Matokeo ya shule hiyo haya hapa:
www.jamiiforums.com/matokeo2012/data/s1197.htm

Napata sababu za kutilia mashaka tuhuma za Mwl. Bujugo.
 
[QUOTEPdidy;5749471]Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni
kumbe mbatia niliona anapiga porojo za siasa sasa nimeamini ukweli shukuru kawambwa
anaitaj kujiuzulu na kutuwekea mtaala mahususi wa elimu yetu

ndugu zanguni kwa mliosikia redio clouds masaa mawili yaliyopita walikuwa wakimhoji
mwalimu mkuu wa shule moja aliesema wazi matokeo ya form four ni feki
wakati anahojiwa kwa nini anasema hivyo nahisi kama mtanzania ulimsikia ulipata
hamu ya haja kubwa gafla .......

Mwalimu mkuu huyo aliekuwa akihojiwa anasema amekuwa wa kwanza kulalamika matokeo yale
na kusema kumekuwa na matatizo mengi pale kwenye baraza na bado awataki kuyakubali

1..usahihishaji
anasema kumekuwa na matatizo makubwa kwenye usahihishaji na kusema kama waislamu wangekaa
kimya kipindi kile kwa kukubali matokeo yale basi upumbavu huu ungeendelea na anashangaa
mpaka leo bado unaendeleea.....

2..hili ndilo la kustaajabisha akataja na majina kabisa akasema ana wanafunzi wake kwenye shule
walishindwa kufanya mtihani kutokaa na na sababu mbali mbali lakiiiiiiiiniiiiiiiiiiiiiiiii
ameshikwa na butwaaaa kukuta wanafunzi zaidi ya watano katika hao wasiofanya mtihani majina
yao yako kwenye ubao wa matokeo na tena wana div ii na wengine iii

akasema kwa hili yuko radhi kutoa ushirikiano na serikali kuwadhihirishia hawa watoto awakufanya mtihani kabisa kabisa

sasa ndugu zangu watanzania hivi unajua hata wewe ulishindwa kufaulu la saba yawezekana ulifaulu matokeo yako akapewa asha ama mwakatobe ,ama mwafilimbi ,,ama mwaigomole??sisemi kufeli maana naamini akuna kufeli la saba bali kushindwa kufaulu

mh waziri natamani kusikia lafudh i yako kwenye hili nini kinaendelea.....
Ni wangapi jamani wako vyuoni kwa style hii wapendwa katika bwana nashindwa kuendeleaaaa nimepatwa na uwoga kwenye mikono namini waziri atarudi tena kutusaidia hili

mama yetu yule anaekuwaga wa kwanza kuroppoka matokeo nae atusaidie kwa hili[/QUOTE]

kama ni kweli wameweza hivyo how comes washindwe kuchakachua matokeo ya mwanaasha?
 
Mbona wanasema haya hayajapikwa na huyo katibu alikataa kuyapika, nipe mawazo yako kwa matokeo haya Mwanaasha Jakaya Kikwete angekula ya ngapi?
weweeee, mimi sitaki kabisa kujiingaza huko aisee
niache ni RIP
 
haya sasa si unaona - halafu watu wanatoa povu kumsafisha ndalichako na kutaka kawambwa ajiuzulu
 
makosa madogo madogo ya uchapishaji lazima yawepo, msilihamishe tatizo hili la mfumo wa elimu yetu kwa NECTA. hii ni aibu wa wizara kupiga teke hoja ya Mh. Mbatia.

Hongera Mh. Mbatia - wakubali au wakatae hoja yako ila ukweli wako umekuweka huru.
 
Huwa sishughuliki na MAJUNGU, weka ushahidi hapo basi tuongee...KULALAMIKA SIO DEAL, halafu radio aliotumia kutoa hayo malalamiko inanifanya NIPATE KICHEFUCHEFU.....
 
zi baba riz alilazimisha matokeo yapandishwe pandishwe ndo mchanganyiko ulipotokea... dakika ya mwisho anasema wasiweke majina...
 
Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.
Na ndio maana nikamalizia kwa kusema tuhuma kama hizo ni nzito hususani kama zinatoka kwa mmiliki wa shule na ndio maana nikatoa changamoto kwa Ndalichako atolee ufafanuzi....manake kauli iliyotoka ni ya Msemaji tu huku vigogo wote waliohojiwa wakiacha kutoa ushirikiano!
S1197/0173
M
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F

Chukua time kidogo
 
WAKATI mjadala wa matokeo mabaya ya kidato cha nne ukiendelea kulitikisa taifa, kashfa mpya ya matokeo hayo imeibuliwa.

Kashfa hiyo mpya imeibuliwa na Mkurugenzi wa Shule ya Green Acres, Julian Bujugo, kwamba matokeo ya baadhi ya shule nchini ikiwamo yake yamechakachuliwa.

Akizungumza na gazeti hili jana, Bujugo alisema kuwa baadhi ya wanafunzi kwenye shule yake hawakufanya mitihani ya kidato cha nne, lakini matokeo yanaonesha wamefaulu kwa kupata alama za juu.

Alitaja mfano wa mwanafunzi, Humphrey Sanga, mwenye namba 01197/148, ambaye hakufanya mitihani hiyo lakini matokeo yanaonesha amefaulu kwa kupata alama nzuri.

“Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24,” alisema Bujugo.

Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.

Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.

Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha amewekewa ‘absent’ na mwanafunzi mwingine, Mbazi Volta, hakufanya mitihani lakini amepewa alama za ufaulu.

“Matokeo hayo yananipa wasiwasi kwamba yanaweza kuwa yamechakachuliwa,” alisema Bujugo.

Mkurugenzi huyo anaiomba Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kurudia kusahihisha mitihani hiyo ili kuondoa ukungu ulioligubika taifa kwa sasa kuhusu matokeo ya kidato cha nne.

“Naomba usahihishaji urudiwe, maana huu ni ubabaishaji mkubwa…matokeo hayo yamewaathiri watoto kisaikolojia na sijui watakwenda wapi?,” alihoji.

Alisisitiza kuwa usahihishaji urudiwe kwani katika shule hiyo wanafunzi wenye uwezo mkubwa tangu walipoanza kidato cha kwanza ndio waliofanya vibaya wakati waliokuwa wakifanya vibaya, wameibuka na alama za juu.

Mkurugenzi huyo alisema wazazi wa watoto hao wanatarajiwa kukutana mwishoni mwa wiki hii kujadiliana kuhusu matokeo hayo na hatua za kuchukua.

Akitolea ufafanuzi suala hilo, Msemaji wa Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), John Nchimbi, alisema si kweli kuwa matokeo hayo yamechakachuliwa bali ni matokeo halisi ya shule hiyo.

Alisema iwapo mkurugenzi wa shule hiyo ana shaka na matokeo hayo, alitakiwa kufika katika ofisi za baraza hilo ili apatiwe taarifa sahihi kabla ya kutoa taarifa katika vyombo vya habari.

“Mi nimeangalia hayo majina, naona yapo sawa na hata huyo mwanafunzi ambaye anasemekana hakufanya mitihani na akapewa alama…napenda kusema kuwa alama alizopewa si zake na hata katika orodha yetu anaonekana kuwa hakufanya mitihani,” alisema.

Katika hatua nyingine, Waziri wa wizara hiyo, Dk. Shukuru Kawambwa na wenzake, wamekuwa bubu kueleza endapo wako tayari kujiuzulu au la.

Tanzania Daima ilifika wizarani hapo jana kutaka kuonana na Waziri Kawambwa ili atoe msimamo wake, mwandishi alijibiwa kuwa waziri huyo alikuwa kikaoni na asingeweza kutoka.

Hata waziri alipopigiwa simu pamoja na kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, hakupokea wala kujibu ujumbe huo.

Kwa upande wake, katibu mkuu wa wizara hiyo naye hakuwa tayari kuzungumzia suala hilo kwa madai kuwa alikuwa kikaoni.

Naye Naibu Waziri, Philipo Mulugo, alipotafutwa kupitia simu yake ya mkononi kueleza msimamo wake, simu yake iliita bila kupokewa na hata hakuwa tayari kujibu meseji ya ujumbe mfupi.

Source :Tanzania Daima
 
Mtawatambua kwa matunda yao!! Huyu mkurugezi ambae ni mmiliki wa shule ana mgogoro wa kimaslahi kwenye malalamiko yake. Shule yake imekuwa ya ngapi miongonii wa zilizo katika aina ya green acres? Mwaka jana shule ilipofaulisha sana hukuona uchakachuaji? sasa kibano kimekuwa kikali, na bado baraza litakaza uzi. Ukiwanunulia watoto fake itakuwa feki kweli. Ukiwapa majibu yatagundulika. Kilichobaki kaza msuli kusimamia wanafunzi wafundishe kwa bidii na wanafunzi wasitarajie dezo!!!
 
S1197/0173​
M​
34​
FLD​
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F​

Huyu anasema ameongezewa Book Keeping na Commerce hebu jamani nisaidieni mbona mie sioni hayo masomo hapo juu?

Hii habari na uongo ata mimi nimepitia matokeo yao hajaongezewa somo ata moja..Afu hiyo ya kujaziwa grades bila kupiga pepa pia ni uongo. Namba ya shule iliyoandikwa na mtoa mada haipo S01197. Namba ya G/acres ni S1197.
 
Back
Top Bottom