Matokeo kidato cha 4 yaua tena!

Matokeo kidato cha 4 yaua tena!

Kwa taarifa nilizozipata kwa jamaa alieko monduli Arusha kwamba mwanafumzi wa kike aliemaliza shule moja hapo minduli na kufeli kidato cha 4 ajinyonga na kufariki kisa matokeo mabaya ya mwaka huu.

Huyu nadhani atakuwa wa 3 au wa 4 sasa kujiua kutokana na matokeo mabaya,mmh nini hatima yake?

Naiomba na jamii na wananchi tuache kuwakejeli au kuwasemasema vijana waliofeli,kufeli sio kufeli maisha.

Poleni wafiwa.

Minduli ndo nini???:yo:
 
Wewe pia ni mdau wa elimu, tafakari mchango wako katka ubaya/uzuri wa matokeo ya mtihani then ndipo uanze kulaumu serikali. Watz wengi ni wau wa matukio, nyumba inapochakaa wote kimya hakuna anaeogea wala kusikia ila ikidondoka kila mtu huanzsha lawama,uchambuzi wa hoja limradi tu kasikika. Mathalan, mwanao ukijua kapata matokeo mabaya hata akafikiria kujtoa uhai hapo mzaz jukumu lako nnini? Au unataka serikali ifanye nn hapo?
KWANI SUALA LA ELIMU YETU TUMEANZA KULILALAMIKIA LEO?WATAALAM NA WASHAURI HAWASIKILIZWI,UJENZI WA SHULE ZA KATA ULIANZA PIA KISIASA KUZIMA HOJA NA MALALAMIKO KUHUSU ELIMU,VYEMA NI JAMBO JEMA LAKINI LIMEFANYIKA NA LINATUMIKA KISIASA MNO BILA KUZINGATIA HOJA ZA WATAALAM WA ELIMU.NIKWELI TUNA SHIDA KUBWA YA KUKURUPUKA JAMBO LINAPOTUACHA UCHI.MZAZI MMOJA MMOJA ATAFANYA NN KAMA HAMNA MFUMO BORA NA IMARA WA PAMOJA KITAIFA???WAZAZI WALIAMKA KITAMBO NA WANA KIU YA ELIMU BORA KWA WATOTO WAO KIKWAZO KIPO KIMFUMO NA KUYUMBA KWA MAADIL."SERIKALI IMESHINDWA KUWEKA MISINGI BORA YA ELIMU NA MAADIL KWA JAMII".Umeuliza ninataka serikali ifanye nini?I- step down serikali yote kwani imejam,ni yenyewe imefail.
 
Usijidanganye hata kidogo, majina ya wanafunzi pia yamechanganywa changanywa hovyo hovyo pamoja na namba zao za mitihani! Wapo pia waliofaulu wakafelishwa kwa maksudi. Mkuu huenda wewe huna watoto bado uchungu wake huujui labda. Usisherehekee matitizo yaliyompata mwenzako.

Siungi mkono mtu kujiua!.. Wala si sababu ya kukosa uchungu kwa kutokuwa na watoto. Angejituma kusoma angefaulu tu!...
 
KWANI SUALA LA ELIMU YETU TUMEANZA KULILALAMIKIA LEO?WATAALAM NA WASHAURI HAWASIKILIZWI,UJENZI WA SHULE ZA KATA ULIANZA PIA KISIASA KUZIMA HOJA NA MALALAMIKO KUHUSU ELIMU,VYEMA NI JAMBO JEMA LAKINI LIMEFANYIKA NA LINATUMIKA KISIASA MNO BILA KUZINGATIA HOJA ZA WATAALAM WA ELIMU.NIKWELI TUNA SHIDA KUBWA YA KUKURUPUKA JAMBO LINAPOTUACHA UCHI.MZAZI MMOJA MMOJA ATAFANYA NN KAMA HAMNA MFUMO BORA NA IMARA WA PAMOJA KITAIFA???WAZAZI WALIAMKA KITAMBO NA WANA KIU YA ELIMU BORA KWA WATOTO WAO KIKWAZO KIPO KIMFUMO NA KUYUMBA KWA MAADIL."SERIKALI IMESHINDWA KUWEKA MISINGI BORA YA ELIMU NA MAADIL KWA JAMII".Umeuliza ninataka serikali ifanye nini?I- step down serikali yote kwani imejam,ni yenyewe imefail.

Inaonekana unapenda ubishi sana wewe, kama hutojali unaweza niambia jinsia yako?
RIP mtoto.
 
Inaonekana unapenda ubishi sana wewe, kama hutojali unaweza niambia jinsia yako? RIP mtoto.
Am sor afan,ooh sor Kamanda.,siludii tena kuchangia ngoja niende likizo kama nimekuboa pamoja na kuwa sijajua ubishi wangu hadi utake jinsia yangu.
 
Back
Top Bottom