Matokeo jumla ya uwakilishi Zanzibar

Matokeo jumla ya uwakilishi Zanzibar

Ndo maana mim siku hiz nimeacha kutilia maanani mambo ya dini kwa udhalimu waliofanyiwa wazanzibar. Sasa leo utakuta kwenye kuapisha huyo Shein utakuta viongozi wa dini nao wameenda na kumuombea pamoja na kumpongeza wakati wanajua kabisa kilichofanyika ni wizi na ubakaji wa Demokrasia
 
Back
Top Bottom