Haihtaji kuwa na "fikra tunduizi" ili kutambua uwezo wako hafifu kwenye suala dogo kama hili na nakushauri ndugu sometimes you have to involve your conscious mind rather than using subconscious mind kila mara,mnajidanganya sana vijana ambao bado mnasoma na elimu madesa hiyo ya hapo COET,ni bora elimu ingekua inawakomboa hakuna chochote kipya unachotoka unajua hapo zaidi ya ku-format computer au kuchonga funguo,so kwa level yako huwezi kuwa na wasi wasi na ajira yangu au boss wangu,coz what ur saying is typical daftness so jipange,na mimi kama strong and intelligent person siwezi kufanya argument na wewe zaidi ya ku-ignore upuuzi wako,intelligent is nothing to do with education,eti mara "mimi mhandisi.....mhandisi bongo,utaishia kupanga VLC barabarani na akili mufilisi kama zako"