Ziege
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 337
- 139
M=Z?let the whole class equals to M
and total number of boys equals to Y,
also total number of female equal to X
na hapo ushaambiwa kuwa 75% ya darasa zima ni boys
that means 25% ni female
vile vile umeambiwa kuwa 135 ya female wamefeli ambao ni sawa na 54% ya female wote
kwa hiyo sasa fanya hivi.
54% of X=135
0.54X=135
X=250
kumbe idadi ya female wote ni 250.
papo hapo kumbukua kuwa 25% of the whole class ni female hivyo...
25% of Z= X
0.25Z=X=250
0.25Z=250
Z=1000. ambao ndo idadi ya darasa zima.   ..
hapo kwa haraka haraka utagundua kuwa total number ya boys ni 750.
kwa hiyo idadi ya
boys walio pass exam
70% of 750 == 525
and idadi ya female walio pass exam
46% of 250== 115..
kwa haraka haraka nikiwa kwenye bodaboda akili yangu imeniambia hivi