Mathematics...This student must be genius.

Mathematics...This student must be genius.

Mkeshaji

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,258
Reaction score
1,418
Kwa kweli huyu binti ni kipanga kuliko mwalimu wake.

419038_649214505092201_1372008697_n.jpg
 
They were trying to think out of the box...
 
Kwa kweli huyu binti ni kipanga kuliko mwalimu wake.

419038_649214505092201_1372008697_n.jpg

Dogo akifanyiwa right training anawezd pata A manake anaonekana kumeza mpaka kituo. Ila anifiti zaidi kwenye physics manake kule concept za laws, principles na theory unatakiwa umeze mpaka kituo.
 
Tusidanganyane, hapa hakuna hesabu yoyote..!

Kuna nini hapo mkuu Kama sio hesabu hizi ni concept za infinity, katika hesabu kama kumbukumbu zangu zipo vizuri nilizisoma katika topic ya function Advance na at university kwenye course za Mathematical analysis.
 
Kuna nini hapo mkuu Kama sio hesabu hizi ni concept za infinity, katika hesabu kama kumbukumbu zangu zipo vizuri nilizisoma katika topic ya function Advance na at university kwenye course za Mathematical analysis.
Hebu subiri kidogo ni-gooogle hii mambo ya infinity concept then nitakurudi..!
 
Back
Top Bottom