Math challenge

Walimu awajui kufundisha magazijuto wao wanadanganya kuwa una anza MABANO kisha GAWANYA kisha ZIDISHA kisha JUMLISHA kisha TOA wamemaliza kumba kuna vitu vya ziada hapo
Niliover look kitu gani sijui.
Maths ndo ilivyo kitu kidogo tu kinakupoteza usipokuwa makini.

Thanks.
 
Walimu awajui kufundisha magazi juto wao wanadanganya kuwa una anza MABANO kisha GAWANYA kisha JUMLISHA kisha TOA wamemaliza kumba kuna vitu vya ziada hapo
Nimekupata mkuu.
 
Nimekupata mkuu.
Unaona ilo jibu la 9 wanalo toa watu wengi ni kuto kujua (JUTO) yaani wao wanafuata muongozo wa walimu kuwa una JUMLISHA kisha ndiyo una TOA matokeo yake wana kosa jibu sahihi kwa kuandika 9

10-0+1= wao wana anza kujumlisha matokeo inakuwa 10-1 =9 ❌
 
Mkuu, nafikiri ni kutokuwa makini tu, 0 ni sifuri tu either +ve or -ve.

Tumekupata mkuu.

Kwenye hesabu mbali ya kujua pia umakini unahitajika. Unaweza kuwa vizuri lakini kutokuwa makini kukakupoteza.
 
Mkuu, nafikiri ni kutokuwa makini tu, 0 ni sifuri tu either +ve or -ve.

Tumekupata mkuu.

Kwenye hesabu mbali ya kujua pia umakini unahitajika. Unaweza kuwa vizuri lakini kutokuwa makini kukakupoteza.
Hata isingekuwa 0 mfano
10-2+4= jibu linakuwa 12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…