Math challenge

Umekosea ni kweli una anza kuondoa mabano ila ulichokosea ni kushindwa kujua mabano yamesha kwisha kwa ndani hiyo (3) imesha malizika mabano hapo ndipo ulipo kosea
Sure, upo sahihi, hiyo 5 haipo ndani ya bano 60÷5(3) ni sawa na 5×3, ingelikuwa 60÷(5(3)) ningekuwa sahihi

👏
 
Sure, upo sahihi, hiyo 5 haipo ndani ya bano 60÷5(3) ni sawa na 5×3, ingelikuwa 60÷(5(3)) ningekuwa sahihi

👏
Kumbe umeelewa nilijua utskuwa ubishi mwanzo mwisho ....mabano ya magazi juto yana husu equation ya ndani ya mabano tu ikisha malizika mabano yanakuwa nje ya kanuni ya magazi juto
 
😂😂hahahaaaaq
 
Kumbe umeelewa nilijua utskuwa ubishi mwanzo mwisho ....mabano ya magazi juto yana husu equation ya ndani ya mabano tu ikisha malizika mabano yanakuwa nje ya kanuni ya magazi juto
Si ndo hapo, nilishachochora, ni wenge 😂 au umri umeshaanza ... 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…