Umenichekesha kinoma yaani #bata = ambaruty 😂
Mlinganyo wa 1: kila ambaruty mmoja = 20
Mlinganyo wa 2: mayai matatu = 3, yaani kila yai 1 = 1
Mlinganyo wa 3: ndizi sita = 6, yaani kila ndizi 1 = 1
Mlinganyo wa 4: ambaruty = 20, mayai manne = 4, ndizi nne = 4, zingatia alama ya kuzidisha kati ya mayai na ndizi