Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamaa katenda dhambi zake humu ulimwenguni,alipofariki kaenda kuzimu,
kufika shetani akamwonyeshea vyumba vitatu na achague moja ambayo ndo inakuwa
ya mateso yake.
Kampeleka chumba cha kwanza,jamaa kakuta chumba kina watu halafu imajaa
mavi,watu wapo ndani ya chumba na mavi imewafikia mpaka shingoni,jamaa kamwambia shetani
dah hi chumba siwezi.
akapelekwa chumba kingine,akakuta watu na wametumbukia kwenye mavi na imewafikia mpaka puani,
akasema hapa pia siwezi.
akapelekwa chumba cha tatu,akakuta watu wamesamama halafu mavi imewafikia magotini huku wanakunywa chai.
akamwambia shetani heri hapa,heri niendelee na sala,shetani kusikia hivo kaja juu kawafungulia mavi mpaka wakazama mazima
kufika shetani akamwonyeshea vyumba vitatu na achague moja ambayo ndo inakuwa
ya mateso yake.
Kampeleka chumba cha kwanza,jamaa kakuta chumba kina watu halafu imajaa
mavi,watu wapo ndani ya chumba na mavi imewafikia mpaka shingoni,jamaa kamwambia shetani
dah hi chumba siwezi.
akapelekwa chumba kingine,akakuta watu na wametumbukia kwenye mavi na imewafikia mpaka puani,
akasema hapa pia siwezi.
akapelekwa chumba cha tatu,akakuta watu wamesamama halafu mavi imewafikia magotini huku wanakunywa chai.
akamwambia shetani heri hapa,heri niendelee na sala,shetani kusikia hivo kaja juu kawafungulia mavi mpaka wakazama mazima