mateso

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Jamaa katenda dhambi zake humu ulimwenguni,alipofariki kaenda kuzimu,
kufika shetani akamwonyeshea vyumba vitatu na achague moja ambayo ndo inakuwa
ya mateso yake.
Kampeleka chumba cha kwanza,jamaa kakuta chumba kina watu halafu imajaa
mavi,watu wapo ndani ya chumba na mavi imewafikia mpaka shingoni,jamaa kamwambia shetani
dah hi chumba siwezi.
akapelekwa chumba kingine,akakuta watu na wametumbukia kwenye mavi na imewafikia mpaka puani,
akasema hapa pia siwezi.
akapelekwa chumba cha tatu,akakuta watu wamesamama halafu mavi imewafikia magotini huku wanakunywa chai.
akamwambia shetani heri hapa,heri niendelee na sala,shetani kusikia hivo kaja juu kawafungulia mavi mpaka wakazama mazima
 
Jamaa katenda dhambi zake humu ulimwenguni,alipofariki kaenda kuzimu,
kufika shetani akamwonyeshea vyumba vitatu na achague moja ambayo ndo inakuwa
ya mateso yake.
Kampeleka chumba cha kwanza,jamaa kakuta chumba kina watu halafu imajaa
mavi,watu wapo ndani ya chumba na mavi imewafikia mpaka shingoni,jamaa kamwambia shetani
dah hi chumba siwezi.
akapelekwa chumba kingine,akakuta watu na wametumbukia kwenye mavi na imewafikia mpaka puani,
akasema hapa pia siwezi.
akapelekwa chumba cha tatu,akakuta watu wamesamama halafu mavi imewafikia magotini huku wanakunywa chai.
akamwambia shetani heri hapa,heri niendelee na sala,shetani kusikia hivo kaja juu kawafungulia mavi mpaka wakazama mazima

chukua tano mkuu.inamaana alikuwa anatafuta nafuu?
 
bt the orignal one inasema akachagua hko cha 3,alipoingia shetan akasema haya tea breakz z ova evrybody on your headz,kwahyo wajamaa wakadumbukza vchwa kwnye ma**..
 
bt the orignal one inasema akachagua hko cha 3,alipoingia shetan akasema haya tea breakz z ova evrybody on your headz,kwahyo wajamaa wakadumbukza vchwa kwnye ma**..
thanks mkuu for correction
 
Jamaa katenda dhambi zake humu ulimwenguni,alipofariki kaenda kuzimu,
kufika shetani akamwonyeshea vyumba vitatu na achague moja ambayo ndo inakuwa
ya mateso yake.
Kampeleka chumba cha kwanza,jamaa kakuta chumba kina watu halafu imajaa
mavi,watu wapo ndani ya chumba na mavi imewafikia mpaka shingoni,jamaa kamwambia shetani
dah hi chumba siwezi.
akapelekwa chumba kingine,akakuta watu na wametumbukia kwenye mavi na imewafikia mpaka puani,
akasema hapa pia siwezi.
akapelekwa chumba cha tatu,akakuta watu wamesamama halafu mavi imewafikia magotini huku wanakunywa chai.
akamwambia shetani heri hapa,heri niendelee na sala,shetani kusikia hivo kaja juu kawafungulia mavi mpaka wakazama mazima

Nice one arifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom