Mateso ya udahili wa wanafunzi vyuoni yameanza kuonekana

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,291
12,583
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga na vyuo hapa nchini. Kuutengeza mtandao huu ulitumia gharama kubwa hadi uweze kukamilika, kuutangaza na kuutumia. Kuutupa mfumo huu ghafla ni matumizi mabaya ya kodi.

Baada ya kuachana na mfumo huu hivi sana wanafunzi wameanza kuonja joto ya jiwe. Application form sasa ni sh. 50000. Ukitaka kuwa na uhakika wa kupata nafasi kwenye chuo kimoja huna budi ufanye applications kwenye vuo 3 au zaidi. Mwanafunzi lazima alipe hela hizo kwenye benki ambazo nyingine hazipo huko mikoani sembuse wilayani.
Inawezekana chanzo cha shida zote hizo kwa wanafunzi ni taasisi moja hodhi ya kidini.
 
Hii system itadumu kipindi hiki..
Next year wanarudi kwenye CAS....Maamuzi ya kukurupuka na kutekeleza kila anachosema Rais bila hata ku-asses impact ni mabaya sana...
 
Watu wengi wanaona mfumo huu ni sahihi kwao wakitumia mifano ya nchi zilizoendelea kama marekani hawajui kule kuna vyuo vingi na vizuri kuliko hapa kwetu marekani almost kila jimbo lina vyuo vyake vingi tu afu kunakua na vile vyuo maalumu kama havard ,mit na vinginevyo ambavyo kupata nafasi inabidi uwe na vigezo vingi sasa bongo vyuo vingapi?? Afu gharama za kila chuo ku apply ukilinganisha na idadi ya wanafunzi iliopo watajuta tu na rushwa au kwenda chuo kwa memo ndo kutazidi i bet after miaka miwili watarudi CAS
 
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga na vyuo hapa nchini. Kuutengeza mtandao huu ulitumia gharama kubwa hadi uweze kukamilika, kuutangaza na kuutumia. Kuutupa mfumo huu ghafla ni matumizi mabaya ya kodi.

Baada ya kuachana na mfumo huu hivi sana wanafunzi wameanza kuonja joto ya jiwe. Application form sasa ni sh. 50000. Ukitaka kuwa na uhakika wa kupata nafasi kwenye chuo kimoja huna budi ufanye applications kwenye vuo 3 au zaidi. Mwanafunzi lazima alipe hela hizo kwenye benki ambazo nyingine hazipo huko mikoani sembuse wilayani.
Inawezekana chanzo cha shida zote hizo kwa wanafunzi ni taasisi moja hodhi ya kidini.
Cjae
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga na vyuo hapa nchini. Kuutengeza mtandao huu ulitumia gharama kubwa hadi uweze kukamilika, kuutangaza na kuutumia. Kuutupa mfumo huu ghafla ni matumizi mabaya ya kodi.

Baada ya kuachana na mfumo huu hivi sana wanafunzi wameanza kuonja joto ya jiwe. Application form sasa ni sh. 50000. Ukitaka kuwa na uhakika wa kupata nafasi kwenye chuo kimoja huna budi ufanye applications kwenye vuo 3 au zaidi. Mwanafunzi lazima alipe hela hizo kwenye benki ambazo nyingine hazipo huko mikoani sembuse wilayani.
Inawezekana chanzo cha shida zote hizo kwa wanafunzi ni taasisi moja hodhi ya kidini.
Cjaelewa hyo 50,000 ni kwa kila chuo au?
 
Juzi tu watu wametoka kisifia hilo!
Maumivu yatarudi tu kwa wale masikini!
Ni Suala la muda tu
 
Back
Top Bottom