Corona is real, tusichukulie poa!
Nilitambulishwa naye na rafiki yangu wa muda mrefu sana, naye ni wa kike.
Rafiki yangu huyo akaniomba nimpeleke kwenye kiwanja fulani akakutane na baharia fulani.
Katikati ya Safari nikawa nasikia akiongea na mpenzi wake. Mahaba ya kwenye simu kama yote. Dah.....nikachoka mwili na roho. Jamaa hajui mpenzi wake nampelekea baharia mwingine mida ya jioni hio halafu mvua kama yote.
Nikafikisha mzigo kwa baharia mimi nikageuza zangu maskani. Nikiwa njiani, full mawazo, nawaza tukio lile. Mwanamke wa jamaa anaenda kuliwa mbele ya macho yangu.
Dah....jamaa atakuwa anajiaminisha kabisa kuwa ana mwanamke. Halafu dada ni mzuri kinomanoma!
Kuanzia siku hio hamu ya kuchakata papuchi imekata. Kila kiumbe ninayemuona mbele yangu hata awe mzuri kiasi gani, kumbukumbu ile mbaya inanijia kichwani, naishia kusononeka badala ya mnara kusoma.
Wenye wapenzi kazi ipo, mabaharia wanachakata papuchi bila huruma!
Kumbukeni kunawa mikono Kwa maji tiririka na satinizer!
Nilitambulishwa naye na rafiki yangu wa muda mrefu sana, naye ni wa kike.
Rafiki yangu huyo akaniomba nimpeleke kwenye kiwanja fulani akakutane na baharia fulani.
Katikati ya Safari nikawa nasikia akiongea na mpenzi wake. Mahaba ya kwenye simu kama yote. Dah.....nikachoka mwili na roho. Jamaa hajui mpenzi wake nampelekea baharia mwingine mida ya jioni hio halafu mvua kama yote.
Nikafikisha mzigo kwa baharia mimi nikageuza zangu maskani. Nikiwa njiani, full mawazo, nawaza tukio lile. Mwanamke wa jamaa anaenda kuliwa mbele ya macho yangu.
Dah....jamaa atakuwa anajiaminisha kabisa kuwa ana mwanamke. Halafu dada ni mzuri kinomanoma!
Kuanzia siku hio hamu ya kuchakata papuchi imekata. Kila kiumbe ninayemuona mbele yangu hata awe mzuri kiasi gani, kumbukumbu ile mbaya inanijia kichwani, naishia kusononeka badala ya mnara kusoma.
Wenye wapenzi kazi ipo, mabaharia wanachakata papuchi bila huruma!
Kumbukeni kunawa mikono Kwa maji tiririka na satinizer!