Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Haya matembezi ya leo ya CUF ya kuchangia chama ni namna ya kujaribu kuhalalisha mabilioni chama hicho kinachopata kutoka nje, kutoka kwa nchi za Kiarabu na zile za Kiisilamu.
Hivi karibuni CCM waliisema CDM kwamba hafla zao za michango ni danganya toto ni kujaribu kuhalalisha mabilioni wanayopata kutoka nche za nje, hususan za Ulaya.
Tunangoja CCM iseme hivyo hivyo kuhusu hii michango ya CUF.
Hivi karibuni CCM waliisema CDM kwamba hafla zao za michango ni danganya toto ni kujaribu kuhalalisha mabilioni wanayopata kutoka nche za nje, hususan za Ulaya.
Tunangoja CCM iseme hivyo hivyo kuhusu hii michango ya CUF.