CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
chama cha makabwela chama cha wanainchi CUF kesho kitafanya matembezi makubwa yatakayoanzia Buguruni shell na kuishia viwanja vya Jangwani, lengo ni kukusanya zaidi ya sh 1bln kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CUF. Hakiiiii