Elections 2010 Matawi Uchwara ya CCM/Chadema Houston

SHERRIF ARPAIO

JF-Expert Member
Aug 25, 2010
9,539
5,904
Houston mnachekesha sana!
Kisa gani cha kuanzisha tawi lenu then mliite tawi la CCM Marekani? Kuna 50 states hapa US na kila state ina sheria zake, watu wake wenye tabia tofauti na mambo yake kuanzia kwa wamarekani wenyewe hadi watanzania.
Ni sawa na kuanzisha tawi then uliite tawi la CCM Europe, does it make any sense kweli. Kama mmeanzisha matawi yenu huko yawe ya CCM, CUF ama Chadema basi myaite tawi---Huoston na sio Marekani kwani sio watu wote wenye akili fupi na njaa ya kushabikia siasa za upuuzi.
Tawi hilo majority ya watu hapa US hatuna habari hadi juzi tulipoona hizo habari kwenye michuzi blog.
Tupatieni contacts za tawi, mnafichaficha tuu ama ndio matawi ya bloguni?
Utajiri wote CCM waliokuwa nao basi hata website inawashinda?
Where is the physical address, phone, fax?
Nani ni mwenyekiti na wajumbe?
Kama mko wakweli basi mbona mnaendesha hayo matawi kisirisiri, mnaficha nini?
Nao hao wanachama na wajumbe mbona mnajificha?
Mlianza wizi wa chips mkaishia jela wengine mkalianzisha.
Mlianza wizi wa cheki feki mkaishia pabaya.
Mlianza sholifting kwenye malls na ku-hang na mapopo mpaka sasa wamewachoka.
Shule kichwani wengi wenu zero/vilaza.
Box mmelibeba sasa linawashinda na mmeona kuanzisha matawi ya CCM/Chadema ndio deal.
Mnachekesha sana. Basi yaiteni matawi ya CCM/Chadema Houston na sio eti tawi la CCM Marekani kwani si watu wote tuna akili ya maji.
Shida na njaa zenu mziendekeze wenyewe na sio wabongo wote tuliokuwa US.
Na ujanja woote wa kuishi nje bado mnashabikia siasa uchwara!
Mtaishia kuwa kama Joe the Plumber!
Man up, dudes!:bowl:
Dumbs!!
 
houston mnachekesha sana!
Kisa gani cha kuanzisha tawi lenu then mliite tawi la ccm marekani? Kuna 50 states hapa us na kila state ina sheria zake, watu wake wenye tabia tofauti na mambo yake kuanzia kwa wamarekani wenyewe hadi watanzania.
Ni sawa na kuanzisha tawi then uliite tawi la ccm europe, does it make any sense kweli. Kama mmeanzisha matawi yenu huko yawe ya ccm, cuf ama chadema basi myaite tawi---huoston na sio marekani kwani sio watu wote wenye akili fupi na njaa ya kushabikia siasa za upuuzi.
Tawi hilo majority ya watu hapa us hatuna habari hadi juzi tulipoona hizo habari kwenye michuzi blog.
Tupatieni contacts za tawi, mnafichaficha tuu ama ndio matawi ya bloguni?
Utajiri wote ccm waliokuwa nao basi hata website inawashinda?
Where is the physical address, phone, fax?
Nani ni mwenyekiti na wajumbe?
Kama mko wakweli basi mbona mnaendesha hayo matawi kisirisiri, mnaficha nini?
Nao hao wanachama na wajumbe mbona mnajificha?
Mlianza wizi wa chips mkaishia jela wengine mkalianzisha.
Mlianza wizi wa cheki feki mkaishia pabaya.
Mlianza sholifting kwenye malls na ku-hang na mapopo mpaka sasa wamewachoka.
Shule kichwani wengi wenu zero/vilaza.
Box mmelibeba sasa linawashinda na mmeona kuanzisha matawi ya ccm/chadema ndio deal.
Mnachekesha sana. Basi yaiteni matawi ya ccm/chadema houston na sio eti tawi la ccm marekani kwani si watu wote tuna akili ya maji.
Shida na njaa zenu mziendekeze wenyewe na sio wabongo wote tuliokuwa us.
Na ujanja woote wa kuishi nje bado mnashabikia siasa uchwara!
Mtaishia kuwa kama joe the plumber!
Man up, dudes!:bowl:
Dumbs!!

get em' bro... Broke niggers!
 
Aisee! mtu unakuwa US bado unatumikishwa ujinga na na wajanja wa BONGO( mafisadi ):mmph: mnatia aibu bwana!. au mafisadi ndio wanakuwekeni huko enh?.
 
Back
Top Bottom