johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Ndio basi tena
1. Wamachinga ni Tawi la CCM
2. Mama lishe ni Tawi la CCM
3. Madereva na Makonda Tawi la CCM
4. Vijiwe vya Boda boda ni Tawi la CCM
5.Wasanii ni Tawi la CCM
6. Walimu ni Tawi la CCM
7. Wavuvi ni Tawi la CCM nk nk
Kundi pekee ambalo Chadema walikuwa na uhakika nalo ni la Wanafunzi wa Elimu ya Juu nalo jana limechukuliwa rasmi na CCM
Siasa ni Sayansi, Hongera Mwenyekiti wa CCM mh Samia kwa kuudondosha mbuyu, Hili kundi limeisumbua CCM kwa miaka sasa.
Mungu ni mwema wakati wote!
1. Wamachinga ni Tawi la CCM
2. Mama lishe ni Tawi la CCM
3. Madereva na Makonda Tawi la CCM
4. Vijiwe vya Boda boda ni Tawi la CCM
5.Wasanii ni Tawi la CCM
6. Walimu ni Tawi la CCM
7. Wavuvi ni Tawi la CCM nk nk
Kundi pekee ambalo Chadema walikuwa na uhakika nalo ni la Wanafunzi wa Elimu ya Juu nalo jana limechukuliwa rasmi na CCM
Siasa ni Sayansi, Hongera Mwenyekiti wa CCM mh Samia kwa kuudondosha mbuyu, Hili kundi limeisumbua CCM kwa miaka sasa.
Mungu ni mwema wakati wote!