Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Mambo makubwa yanayotuathiri Watanzania:
Kwanza ELIMU, hii inafanya wananchi wengi kuamini siasa za porojo bila kujali ukweli halisia na hii itatupeleka pabaya kwa kuwa wengi tutafuata mkumbo.
Pili UMASIKINI, unatufanya kukosa maamuzi kwa kurubuniwa kwa senti chache.
Tatu UBINAFSI hasa kwa wale walioelimika kutokutaka kusimama katika kweli kwa maslahi yao bila kujali maslahi ya taifa.
Dr slaa facebook
Kwanza ELIMU, hii inafanya wananchi wengi kuamini siasa za porojo bila kujali ukweli halisia na hii itatupeleka pabaya kwa kuwa wengi tutafuata mkumbo.
Pili UMASIKINI, unatufanya kukosa maamuzi kwa kurubuniwa kwa senti chache.
Tatu UBINAFSI hasa kwa wale walioelimika kutokutaka kusimama katika kweli kwa maslahi yao bila kujali maslahi ya taifa.
Dr slaa facebook