huna macho ndiyo maana unauliza swali lisilo na machoTaja ata moja alotekeleza Kati ya hayo ili asipingwe
Wanatapatapa tu.wakisema wao ni sawa ila wakisema wengine ni makosa
Badala ya kutatua matatizo ya watanzania CCM imejaza misukule mtandaoni kuhalalisha matatizo yao kwa kutumia matatizo ya wengine.
Dah!! Kumbe?
una akili za face book. ndo umeandika nn sasa?Ha ha haaa
Wakaweka na viatu/mabegi ya quality mbovu eeeh picha hiyo inaonyesha walikuwa wameweka tu na hayo waliandika. Wasingetekeleza kabisa kabisa ndio maana aanaumia.. kwa kuwa ni wana Chadema.feki.. ndio maana hawajui yaliyowekwa kwa ilani yao..
Kweli awamu hii kibokoooo yao
uliyepandisha uzi huu ndio wewe ulihehalalisha vgeti fake vya bwana BASHITE juzi ati tuachane navyo kisa anachapa kazi sana? sijui kakuchapia kazi gani? ni wewe kila siku unazusha mambo ya uongo humu? ni wewe unayehalalisha matumizi mabovu ya pesa za umma kisa kafanya mwenyekiti? hovyooo