Matatizo ya Figo kuongezeka chanzo ni nini?

Pia punguzeni kutumia madawa ya asili msiyoyaelewa elewa.

Mtu unakunywa madawa ya kuharisha ili upungue mwili,unaharisha siku 2 mfululizo non-stop(mpk maji yanaisha mwilini) na unadhani ni sifa?tena unakunywa hizo dawa kila baada ya miezi 3.

My friend in long run jiandae kwa figo yako kupata matatizo tu.

Alisikika mlevi mmoja akiongea wkt akitoka kilabuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwel kabisa mkuu...hawajui wanafanya imbalance ya electrolytes kwenye mwili ambacho si kitu kizur kwa afya ya figo.
 
Hizi energy wanazokunywa vijana zinaua sana figo.

Zimeandikwa usinywe Zaid ya mbili kwa siku,

Ila kijana anapiga SITA afu anajiona mjanja.

Wengine wanazichanganya na K-VANT kabisa,

Apo Unategemea Nini Sasa?
Na anaenda kwenye show anakamua vi3..
 
Haya mambo ni magumu kuyafafanua babu zetu chakula chao kikuu kilikuwa nyama na waliishi miaka mingi.

Kuna ndugu zetu huko vijij wanakunywa pombe daily, tena wanachanganya za viwandani na kienyeji lakini wengi wanafika hadi miaka 80-90 hawajawi pata magonjwa kama hayo ya figo wala moyo.

Pamoja na kula hivi hivi vyakula na vinywaji hivi tunavyovijua ukiwa na kipato kizuri uhakika wa kuishi ni zaidi ya 70 yrs.
Ukiwa una kula hovyo na kunywa hovyo halaf huna physical activities za kutosha tegemea magonjwa kama hayo..wale wa kijijin hawatumii boda boda bajaja wala gar na wanalima kila siku...

Well mi naona chanzo cha magonjwa hayo ni madawa...na products za viwandan zenye preservatives nying...ma ARV na mapombe masoda majuice ya viwandan..yanaharibu balance ya electrolytes mwilin na ndo kitu kibaya snaa kwa figo ..lazima zife
 
Haya mambo ni magumu kuyafafanua babu zetu chakula chao kikuu kilikuwa nyama na waliishi miaka mingi.

Kuna ndugu zetu huko vijij wanakunywa pombe daily, tena wanachanganya za viwandani na kienyeji lakini wengi wanafika hadi miaka 80-90 hawajawi pata magonjwa kama hayo ya figo wala moyo.

Pamoja na kula hivi hivi vyakula na vinywaji hivi tunavyovijua ukiwa na kipato kizuri uhakika wa kuishi ni zaidi ya 70 yrs.
Sasa nyama za Sasa hivi hao ng'ombe wanachomwa madawa Kama kuku chotara tu
 
Kwenye dawa za miti shamba siamini Kama Ni tatizo.mbona WENGINE ndiyo zimetukuza? Pia nakumbuka 2003 ndiyo ulikuwa mwaka wa Kwanza kumeza vidonge tangu nizaliwe.Lakini baada ya hapo Ni mwendo wa miti shamba tu mpaka leo.
 
Sababu kubwa ni:

1. Pressure ya kupanda (Hypertension).
Takwimu zinaonesha magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka sana siku hizi mojawapo ikiwa Hypertension. Sasa hii iko directly propotion na magonjwa ya figo, ina maana kadri Hypertension zinavyokuwa nyingi ndivyo magonjwa ya figo yanakuwa mengi pia.

Kimsingi Hypertension inasababisha organ nyingi sana za mwili kufeli. Mfano hupelekea magonjwa mbalimbali ya moyo, husababisha kiharusi(Stroke) n.k. Hivyo ukiwa na Hypertension upo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata magonjwa mengine mengi.

2. Kisukari (Diabetes Mellitus)
Kisukari huwa kinasababisha organ nyingi sana za mwili kufeli mojawapo ikiwa figo. Kama kawaida maradhi ya kisukari siku hizi yameongezeka sana, hivyo ni lazima maradhi ya figo yaongezeke pia.

Hizo ndio sababu kuu 2. Mengine ulaji mbaya, lifestyles n.k ni mambo ambayo yanamuweka mtu kwenye hatari ya digo kufeli lkn sio visababishi vya moja kwa moja.

Na tukumbuke figo kufeli haitokei ghafla, ni mchakato ambao una hatua kama 5 hivi. Hivyo ni vzr tuwe tunajichunguza mara kwa mara ili kujua kama figo zimeanza kufeli.
Unforgetable
 
Pia punguzeni kutumia madawa ya asili msiyoyaelewa elewa.

Mtu unakunywa madawa ya kuharisha ili upungue mwili,unaharisha siku 2 mfululizo non-stop(mpk maji yanaisha mwilini) na unadhani ni sifa?tena unakunywa hizo dawa kila baada ya miezi 3.

My friend in long run jiandae kwa figo yako kupata matatizo tu.

Alisikika mlevi mmoja akiongea wkt akitoka kilabuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenena vema, wagonjwa wengi hasa wa Kisukari wamekuwa wahanga wa hizi dawa za kienyeji kali, unakuta mtu anapewa madawa ya kienyeji anywe dumu zima la lita 5 kila siku, hapo lazima atapata shida ya figo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo magumu sana, mimi ninashida ya gout nakiasi kikubwa cha uric acid huwa nakunywa maji mengi sana na huwa napata nafuu sana kumbe nakwepa gout natengineza gonjwa lingine baya zaidi dah maisha haya sio

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Sasa tunywe maji kiasi gani tusinywe kiasi gani?

Fafanueni jamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiasi cha maji unachokunywa nafikiri kinategemeana na uzito wako.
36ef4ba411407c2dd1685ac59c42224c.jpg
 
1. Matumizi ya Dawa kwa muda Mrefu eg Kumeza Mbaazi
2.Magonjwa eg HBP ,Kisugar etc
3.Matumizi kupita kihasi ya dawa za kutuliza maumivu eg Pain Killers
4.Kutokufanya mazoezi.
5.Kutokunywa maji ya kutosha.
6.Matumizi ya Dawa za Kienyeji zisizopimwa viwango vya chemicals.
7.Ulaji mbovu eg kufakamia chochote tu,full kumix mijunk food .
8.Utumiaji wa vilevi kupita kihasi.
 
Haya mambo ni magumu kuyafafanua babu zetu chakula chao kikuu kilikuwa nyama na waliishi miaka mingi.

Kuna ndugu zetu huko vijij wanakunywa pombe daily, tena wanachanganya za viwandani na kienyeji lakini wengi wanafika hadi miaka 80-90 hawajawi pata magonjwa kama hayo ya figo wala moyo.

Pamoja na kula hivi hivi vyakula na vinywaji hivi tunavyovijua ukiwa na kipato kizuri uhakika wa kuishi ni zaidi ya 70 yrs.
wale kinawasaidia zile kazi za nguvu sisi boda boda mpaka mlangoni kwako.
 
Back
Top Bottom