Chiqa
Member
- Jul 19, 2017
- 80
- 171
- Thread starter
- #21
wengine tunazo nyingi mpaka server za jf zitajaa bora nisiziandike tu, ila suluhisho langu katika gumu lolote ninalopitia ni Mungu.
Ninashuhudia Mungu kawa msaada mkubwa kwangu, anasikia, anajari, anajibu kwa muda unaofaa, kanitendea mengi hata katika nyakati ambazo nilielekea kukata tamaa kabisa.
Pole ndugu yangu.. Mungu yupo anaona na kusikia usijali omba kwa bidii na kazi ufanye