ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,454
- 2,587
Habari waungwana wa jf nina simu yangu samsung s7 tangu jumapili imeanza matatizo ya kuwaka na kuzima kuzima na kuwaka ata apa kabla sijaanzisha huu uzi imezima na kuwaka wakuu samahan nisaidieni ushauri tatizo ni nini au kama kuna fundi umu jf nipo tayari kuigharamia itengenezwe.natanguliza shukran