Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,817
- 5,403
- Thread starter
- #61
Naona wanawake wanataka kutuzidi matan wanaume.....
Wanaume n kiumbe pekee chenye mkia mbele![]()
umefanya nimecheka kwa nguvuHahahahahahahWanawake ni watu pekee wanaonyoa nyusi na kuchora zao![]()
![]()
![]()

ha ha ha ha tigo???? ha ha ha hata kwa kisu na mkuki bora nionje mauti hizo anasa za dunia siziwezi.Kwenye kufaidi matunda ya utajiri wanawake nao wanalazimika kutoa Ile njia isiyo rasmi pia.