Matangazo ya kazi mengi lakini ya interview ni adimu!

BUNUNGULI

Senior Member
Apr 4, 2013
192
37
Napata wasiwasi na upatikanaji wa kazi zinazotangazwa hapa nchini,kinachonishangaza ni kwamba kila kukicha matangazo ya kazi mpya ni mengi sana cha ajabu matangazo ya kuitwa interview hayapatikani,hawa wanao post kazi humu anzisheni pia utaratibu wa kufuatilia uhakika wa kazi hizo pamoja na feedback kuhusu usaili,pia napendekeza hawa wanaopost kazi mpya hapa wajaribu pia kuwa wanaweka na matangazo ya interview,vinginevyo nimeanza kuamini kuwa kazi za tanzania ni kujuana,wanaoleta matangazo ni kweli kwamba wanakuwa tayari wana watu wao,wanatangaza kama ushahidi tuu...kungekuwa na uwazi, kasi ya matangazo ya ajira mpya ingekuwa sawasawa na kasi ya matangazo ya usaili...nawasilisha
 
Napata wasiwasi na upatikanaji wa kazi zinazotangazwa hapa nchini,kinachonishangaza ni kwamba kila kukicha matangazo ya kazi mpya ni mengi sana cha ajabu matangazo ya kuitwa interview hayapatikani,hawa wanao post kazi humu anzisheni pia utaratibu wa kufuatilia uhakika wa kazi hizo pamoja na feedback kuhusu usaili,pia napendekeza hawa wanaopost kazi mpya hapa wajaribu pia kuwa wanaweka na matangazo ya interview,vinginevyo nimeanza kuamini kuwa kazi za tanzania ni kujuana,wanaoleta matangazo ni kweli kwamba wanakuwa tayari wana watu wao,wanatangaza kama ushahidi tuu...kungekuwa na uwazi, kasi ya matangazo ya ajira mpya ingekuwa sawasawa na kasi ya matangazo ya usaili...nawasilisha
Nchii hii wasanii ni wengi mno kwa hiyo tegemea mengi
 
Umeongea ukweli kuna haja ya hawa wanaoleta matangazo kufatilia pia watu kuitwa kwenye interview kwa sababu mtu tangazo la kazi umelikuta humu itakua ni wizuri kama ata ukiwa short listed kwenye interview watoe majina umu itarahisisha sana kwani jf ni njia rahisi sana, ITAKUA RAHISI KUWABANA WANAO TOA MATANGAZO WAKATI TAYALI WANA WATU WAO
 
Umeongea ukweli kuna haja ya hawa wanaoleta matangazo kufatilia pia watu kuitwa kwenye interview kwa sababu mtu tangazo la kazi umelikuta humu itakua ni wizuri kama ata ukiwa short listed kwenye interview watoe majina umu itarahisisha sana kwani jf ni njia rahisi sana, ITAKUA RAHISI KUWABANA WANAO TOA MATANGAZO WAKATI TAYALI WANA WATU WAO

Itaondoa usumbufu kwa waomba kazi sababu only serious employers watakuwa wanaleta matangazo hapa,halafu wabadilike pia haya matangazo ya kazi unaandikiwa nafasi 40 za leo tarehe ---- ukiangalia ni tano au nne nyingine marudio siku nyingi,huu ni usumbufu pia,,,
 
Back
Top Bottom