Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 8,920
- 16,199
Salaam JF
Je ni kweli matangazo ya kamari yamerudishwa tena kwenye vyombo vya habari ukiacha online media na magazeti??
Wiki iliyopita nilisikia tangazo la BIKO katika redio ya E Fm, leo nimesikia tangazo la TATU MZUKA katika kituo cha Clouds Fm.
Lengo la huu uzi ni kuulizia tu hayo matangazo kama kweli yamerudishwa tena kwenye vyombo vya habari kwa maana serikali ilishapiga stop matangazo ya namna hiyo miezi kadhaa iliyopita.
usiku mwema!
Je ni kweli matangazo ya kamari yamerudishwa tena kwenye vyombo vya habari ukiacha online media na magazeti??
Wiki iliyopita nilisikia tangazo la BIKO katika redio ya E Fm, leo nimesikia tangazo la TATU MZUKA katika kituo cha Clouds Fm.
Lengo la huu uzi ni kuulizia tu hayo matangazo kama kweli yamerudishwa tena kwenye vyombo vya habari kwa maana serikali ilishapiga stop matangazo ya namna hiyo miezi kadhaa iliyopita.
usiku mwema!