Kabisa ujumbe utafika.si unakumbuka ujumbe ule uliokuwa unasema ....ukitaka kula lazima uliwe?
huko simo nalog out
Na asubuhi unakutana na salamu "umejambika?" yaani hujambo, tehe teheeeeeNiliona tangazo hili kwenye moja ya matangazo yao (1)...... "Unagongwa"
(2)......."Usikubali kugongwa tena"
Unaonaje kama Airtel Tanzania wakiyatumia pia ujumbe utafike
Na asubuhi unakutana na salamu "umejambika?" yaani hujambo, tehe teheeeee
Taratibu jamani..... Huku kuna watu kazi yao ni Kupara miwa, zamani walikuwa wakipara thamake
inaonekana wewe enzi za usichana wako miaka ya 80,ulikua hatari sana.
Hata la Airtel mkuu lipo poa wao hakati kabisa..hawa wengine wanakata mi wasiokata wala siwataki hawanogiNiliona tangazo hili kwenye moja ya matangazo yao (1)...... "Unagongwa"
(2)......."Usikubali kugongwa tena"
Unaonaje kama Airtel Tanzania wakiyatumia pia ujumbe utafike