Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,213
- 4,720
Mkoa wa Dar es salaam umewahi kuhudumiwa na Wakuu mbalimbali wa akiwamo Mheshimiwa Mustapha Songambele
Mzee aliyejaaliwa hekima, busara, weledi, umakini na uadilifu mkubwa
Je ni matamko gani ya kisiasa yaliyokuvutia wakati akihudumu kwa nafasi ya RC wa Dar es salaam
Mzee aliyejaaliwa hekima, busara, weledi, umakini na uadilifu mkubwa
Je ni matamko gani ya kisiasa yaliyokuvutia wakati akihudumu kwa nafasi ya RC wa Dar es salaam