Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,256
- 219,479
Kabisa yaani !Hakuna alie salama Taifa zima linaisoma namba.
Wavae hata Mask lakini Waandamane na waandike ujumbe kwenye Mabango yao.Tajiri aandamane huku ana kadi ya chama? Akionekana kwenye picha je?
Wachague kuua ccm au kufa wao wenyeweTajiri aandamane huku ana kadi ya chama? Akionekana kwenye picha je?
si kama huyu kamanda tuWavae hata Mask lakini Waandamane na waandike ujumbe kwenye Mabango yao.
Habari njema ni kwamba hagombeiAjuza akiendelea 2025 Lucas mwashambwa apewe ubunge viti maalumu.
Habari njema hii.Habari njema ni kwamba hagombei
We jamaa weweHabari njema ni kwamba hagombei
Alisharopoka mwenyeweWe jamaa wewe
usinisababishe nikaagiza kahawa usiku huu
Amejipima kwamba hatoshiHabari njema hii.
Kwanini hagombei?
Bangi mbaya saaana!
Hii hali iko huu ni mwez wa 6 sasa. Utafikiri hatuna serikali. Dolla hakuna kabisa japo hata kwa 2800. Cjui tunakoelekeaView attachment 2916545
Taarifa ya Nabii wa Mungu Godbless Lema , ambayo ameisambaza leo Duniani kote kwenye kuhamasisha maandamano ya amani huko Arusha , imewataka matajiri wote wa jiji hilo kushiriki maandamano hayo , kwa vile hata wao wamekumbwa na Ugumu wa maisha baada ya dola kutoweka , na huenda wakafirisika baada ya muda mfupi ujao .
Miezi 9 iliyopita dola 1mil ya US ilibadilishwa kwa 2.3 bil za madafu lakini sasa dola hizo hazipo na kwenye black Market dola 1mil sasa ni 2.9 bil ya madafu , amedai kwamba haifahamiki huko mbele mambo yatakuwaje , hivyo matajiri hawako salama na wanapaswa kushiriki maandamano kabla hawajafirisika rasmi
Ngachoka kabisa yaani 🙌Nafahamu umuhimu wa maandamano. Lakini unadhani wakishiriki maandamano Dollar itapatikana?
Waziri wa pesa ana PhD ya uchumiView attachment 2916545
Taarifa ya Nabii wa Mungu Godbless Lema , ambayo ameisambaza leo Duniani kote kwenye kuhamasisha maandamano ya amani huko Arusha , imewataka matajiri wote wa jiji hilo kushiriki maandamano hayo , kwa vile hata wao wamekumbwa na Ugumu wa maisha baada ya dola kutoweka , na huenda wakafirisika baada ya muda mfupi ujao .
Miezi 9 iliyopita dola 1mil ya US ilibadilishwa kwa 2.3 bil za madafu lakini sasa dola hizo hazipo na kwenye black Market dola 1mil sasa ni 2.9 bil ya madafu , amedai kwamba haifahamiki huko mbele mambo yatakuwaje , hivyo matajiri hawako salama na wanapaswa kushiriki maandamano kabla hawajafirisika rasmi
Marehemu pekee labdaHakuna alie salama Taifa zima linaisoma namba.