ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Wishing you the best ndugu yangu. .Basi sawa! Ushauri wako utafanyiwa kazi
Wishing you the best ndugu yangu. .Basi sawa! Ushauri wako utafanyiwa kazi
ngoja nikipakue niongeze maarifa. hakuna kitabu huwa hakina kawaida ya kukatiza mbele ya mboni ya jicho langu
Oprah naye atasema hivi hivi. .bill Gates pia. ..fika walipofika alafu uyaseme hayo. .PESA NZURI ACHA MCHEZO KABISA. .Hebu tumsikilize BOB MARLEY akielezea kwa mtazamo wake UTAJIRI NI NINI?
Mkuu;
Unachokataa hapa ni nini?? Kwamba kwako umasikini ni baraka sio?? Nitakuambia kwa herufi kubwa, UMASIKINI NI LAANA. Hujaona watu wanaliwa na funza wakiwa hai?? Mpaka unashindwa kumtambua kama ana akili au kichaa?? Hiyo kwako ni baraka?? Hujasikia watu wakisema ati kwetu mazao haya hayalimwi?? Hiyo ni nini?
Inategemea na mtu kweny moyo wake amejipangaje siyo wote lazima wawe majambazi au tapel mbona matapeli wako wengi lakini hawatajiriki . Haya wezi nao wako wengi lakini amna utajiri wowote solution nikujua kwanza utahitaji nn ukishajua must be ufanikiweili uwe tajiri lazima uwe tapeli,jambazi na mdhulumati
Tatizo mila na desturi zatofautiana so siwezi pingana ama ungana na ww moja kwa moja kiongozi. Kwa nitokeako mm hakuna habari hizo.
Ninachoamini mm ni kua mafanikio ni juhudi na nyota ya mtu bila kujali familia za mababu zilikuaje. Nasema hivi kwakua nami natoka ktk familia maskini Lakini nkijiangalia naona kabisa Niko vizuri tofauti na babu na baba yangu. And naamini kama mwanangu watakua na akili timamu Basi wataenda level ya juu kabisa ya utajiri baadae.
hebu leta mawazo yako na tuchanganye na yangu tutimize ndotoInategemea na mtu kweny moyo wake amejipangaje siyo wote lazima wawe majambazi au tapel mbona matapeli wako wengi lakini hawatajiriki . Haya wezi nao wako wengi lakini amna utajiri wowote solution nikujua kwanza utahitaji nn ukishajua must be ufanikiwe
zuckenbergHuwezi kuwa tajiri kama huna kifua cha kutunza siri... ya mungu mengi ila ya binadamu ndo zaidi
Kuwa tajiri kunahitaji; uwe na ulinzi wa fedha zako (kiimani zaidi) bila hivyo utaishia na hela za kula na kufanikiwa kujenga vibanda vyako basi hili wengi huwa hawalizingatii kabisa...kuna watu asubuhi hadi jioni ni binadamu wa kawaida usiku ni panya wa kuiba pesa za watu kila duka( reference:Kariakoo na maeneo mengine ya kazi)
Nyota ni nini mwana Kwetu?Ninachoamini mm ni kua mafanikio ni juhudi na nyota ya mtu bila kujali familia za mababu zilikuaje.
Kanielekeza. Nime download PDF yake ntakutumia PMAKIKUELEZEA HIVHO KITABU JINA LAKE NAMI NAKIOMBA UNIPE ILI NIPANUE MAWAZO YANGU