Matajiri hawalali masaa nane kwa siku

Matajiri hawalali masaa nane kwa siku

Kuna level flan ya maisha ukifikia plus majukumu uliyonayo

utajikuta automaticaly huwezi lala masaa 8,huwezi weka kipaumbele

kwenye muonekano wako,kikubwa umevaa vizuri inatosha,wala haina

cha uwe tajiri wala maskini jeuri ni Maisha tu yanakufanya uwe hivyo bila hata kelele.
Ila jamani ukishakuwa self employed napo itakuhitaji uamke mapema na wakati your the boss na you can make any decision on your own....
 
Ila jamani ukishakuwa self employed napo itakuhitaji uamke mapema na wakati your the boss na you can make any decision on your own....
inakubidi udamke mapema maana kuna biashara wateja wake wapo

asubuhi kwenye saa 05:00am to saa 8:00am then wanakata mpk tena

jioni kuanzia saa 5:00pm to 1:00am ndio wanakatika kbsa (unafunga)

mpk ufike home uoge ulale n saa 2:00am,haya hebu angalia hapo umelala

saa nane usiku then akilini unajua kabsa wateja kule kazini wataanza kuja tena saa 11

hivi unafkiri utaweza kulala masaa 8? nakuhakikishia hamna watu wanateseka kama hawa waliojiajiri.
 
Hamna mfanyabiashara tajiri analala masaa 8 hiyo kubali kataa

akijitahdi sana ni masaa 6-7 huyo ndio atleast yuko vzr kbsa

ila hawa matajiri wanaochipukia 80% hawalali masaa 8 ngumu sana
 
Ni kweli matajiri wana lala muda mchache ukilinganisha na makapuku.
 
Hakuna kitu hicho man. Kutoka na mishe nyingi, matajiri wanalala saa chache sana. Soma stori za Mo Dewji ama Asas utaamini kwamba wanalala muda mfupi sana
Sio kweli mkuu matajiri wanalala saa moja usku wanaamka saa tano asubuhi

Nadhani tumeelewana
 
Hakuna kitu hicho man. Kutoka na mishe nyingi, matajiri wanalala saa chache sana. Soma stori za Mo Dewji ama Asas utaamini kwamba wanalala muda mfupi sana
Mkuu nimemjibu hivo ajitathmni mleta uzi

Mtu alale masaa8 hela atatafta saa ngapi
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hakika. Hata kitabu cha Mithali 20:13 kimeandika kwamba usipende sana usingizi. Usije kuwa masikini.
Mkuu nimemjibu hivo ajitathmni mleta uzi

Mtu alale masaa8 hela atatafta saa ngapi
 
Ila sa nyingine motivational speakers huwa ni waongo....
Hivi hii Ina kweli

Eti tabia za matajiri huamka mapema asubuhi na kuchelewa kulala kutokana na kufanya kazi muda mwingi.....

Huwa hawavai vizuri kwasababu hawatumii muda wao mwingi kuchagua nguo bali kutafuta Pesa.....

Hutumia pesa kwa akili na kuwekeza ili ziongezeke na sio kutumia bila mipango madhubuti...

Husoma vitabu sana na kuongeza maarifa badala ya kutumia Simu au kuperuzi mitandaoni muda wote

Motivational speakers mnatupiga uongo nyie mnatafuta hela mnajidai wahamasishaji

#Iam Zagarino
Kwani mtandaoni hakuna vitabu?
 
Unaonekana una umri mdogo wewe subiri ukue... utagundua hata mungu mwenye kila kitu huwa halali...
 
Wanadai wanaamka saa 10 alfajir
 
Kwa tuliopatia utajiri ngende tunalala vizuri tu,shida ni masharti tu kama kutokula choroko,njugu nk.
 
Ila sa nyingine motivational speakers huwa ni waongo....
Hivi hii Ina kweli

Eti tabia za matajiri huamka mapema asubuhi na kuchelewa kulala kutokana na kufanya kazi muda mwingi.....

Huwa hawavai vizuri kwasababu hawatumii muda wao mwingi kuchagua nguo bali kutafuta Pesa.....

Hutumia pesa kwa akili na kuwekeza ili ziongezeke na sio kutumia bila mipango madhubuti...

Husoma vitabu sana na kuongeza maarifa badala ya kutumia Simu au kuperuzi mitandaoni muda wote

Motivational speakers mnatupiga uongo nyie mnatafuta hela mnajidai wahamasishaji

#Iam Zagarino
Wakina Shigongo ha ha
 
Wasiolala ni maskini na sio matajiri...hivi mtu kama Bakhressa ameajiri watu kibao wanaofanya kazi kwa niaba yake afu useme eti halali! Ukiona mtu hapati muda wa kutisha kupumzika huyo sio tajiri ana visenti au maskini kabisa.
 
Wasiolala ni maskini na sio matajiri...hivi mtu kama Bakhressa ameajiri watu kibao wanaofanya kazi kwa niaba yake afu useme eti halali! Ukiona mtu hapati muda wa kutisha kupumzika huyo sio tajiri ana visenti au maskini kabisa.
Hata Bakhresa hata Bill Gates hata nini wote wanakua na hofu hata uajiri wafanyakazi millioni hawalali kwasababu wanahakikisha kazi zinaenda ipasavyo
 
Naona watu wanachanganga Hustle na Rich.

Hao wasiolala ni HUSTLE ni wapambanaji wanaoelekea kwenye utajiri ni wanapesa ila ni bado wanapambana.

Tajiri ni mtu alishafikia peak ya juu ya uchumi na kashatengeneza mifumo ya wealth yeye analala hata masaa 10 kwasiku hata aamue kulala mpaka anakufa Still hakuna tatizo.

Kuna tajiri hapa Tz amekufa juzijuzi mwenye jumba zuri yule Still Biashara zake zina run hadi sasahivi sasa tuchukulie hakufa aliamua kulala mpaka leo mbona hakuna kilichoharibika.

Eti Billigate halali masaa 8 serious.
 
Naona watu wanachanganga Hustle na Rich.

Hao wasiolala ni HUSTLE ni wapambanaji wanaoelekea kwenye utajiri ni wanapesa ila ni bado wanapambana.

Tajiri ni mtu alishafikia peak ya juu ya uchumi na kashatengeneza mifumo ya wealth yeye analala hata masaa 10 kwasiku hata aamue kulala mpaka anakufa Still hakuna tatizo.

Kuna tajiri hapa Tz amekufa juzijuzi mwenye jumba zuri yule Still Biashara zake zina run hadi sasahivi sasa tuchukulie hakufa aliamua kulala mpaka leo mbona hakuna kilichoharibika.

Eti Billigate halali masaa 8 serious.
Tajiri huwa haridhiki na mali zake siku zote hufanya kazi kwa bidii hata Kama akifikia peak na kuajiri wafanyakazi atakuwa tayari amezoea maisha ya kuamka mapema..

Hawezi sema ngoja ni rest anahakikisha anasimamia mambo yote
 
Back
Top Bottom