Matajiri hawalali masaa nane kwa siku

zagarinojo

JF-Expert Member
Jul 26, 2020
2,622
2,835
Ila sa nyingine motivational speakers huwa ni waongo....
Hivi hii Ina kweli

Eti tabia za matajiri huamka mapema asubuhi na kuchelewa kulala kutokana na kufanya kazi muda mwingi.....

Huwa hawavai vizuri kwasababu hawatumii muda wao mwingi kuchagua nguo bali kutafuta Pesa.....

Hutumia pesa kwa akili na kuwekeza ili ziongezeke na sio kutumia bila mipango madhubuti...

Husoma vitabu sana na kuongeza maarifa badala ya kutumia Simu au kuperuzi mitandaoni muda wote

Motivational speakers mnatupiga uongo nyie mnatafuta hela mnajidai wahamasishaji

#Iam Zagarino
 
Matajiri njooni mjibu.. mkituachia sisi kwangu kukavu tia mchuzi tutatukanana bure hapa..
Acha zako Ina maana we ni maskini
Maskini ni mtu anayeshindwa kumudu mahitaji yake muhimu kama vile chakula maradhi na makazi Nina imani unavimudu
 
Ila sa nyingine motivational speakers huwa ni waongo....
Hivi hii Ina kweli

Eti tabia za matajiri huamka mapema asubuhi na kuchelewa kulala kutokana na kufanya kazi muda mwingi.....

Huwa hawavai vizuri kwasababu hawatumii muda wao mwingi kuchagua nguo bali kutafuta Pesa.....

Hutumia pesa kwa akili na kuwekeza ili ziongezeke na sio kutumia bila mipango madhubuti...

Husoma vitabu sana na kuongeza maarifa badala ya kutumia Simu au kuperuzi mitandaoni muda wote

Motivational speakers mnatupiga uongo nyie mnatafuta hela mnajidai wahamasishaji

#Iam Zagarino
Lala masaa manne kwa siku kwa mwezi mzima.
Lazima utaokota makopo, uwe na hela au usiwe na hela!
 
Ila sa nyingine motivational speakers huwa ni waongo....
Hivi hii Ina kweli

Eti tabia za matajiri huamka mapema asubuhi na kuchelewa kulala kutokana na kufanya kazi muda mwingi.....

Huwa hawavai vizuri kwasababu hawatumii muda wao mwingi kuchagua nguo bali kutafuta Pesa.....

Hutumia pesa kwa akili na kuwekeza ili ziongezeke na sio kutumia bila mipango madhubuti...

Husoma vitabu sana na kuongeza maarifa badala ya kutumia Simu au kuperuzi mitandaoni muda wote

Motivational speakers mnatupiga uongo nyie mnatafuta hela mnajidai wahamasishaji

#Iam Zagarino
IMG_20200808_193912_733.JPG

Wapo sawa ila tajiri hulala mda mchache kwasabab anakaz nying za kufanya usiige hii
 
Kwani wewe unalala masaa 8 kwa siku? Utakuwa hauna kazi basi. Hata chuoni haiwezekani kulala masaa 8. Labda kama uko shule ya msingi basi unaweza. Hata wastaafu hawalali masaa 8. Ukishakuwa mtu mzima, inakuwa vigumu kupata usingizi kiasi hicho.

Ukishakua na wewe hautojali sana kuvaa. Na wala siyo lazima uwe tajiri. Mawazo yako yanakuwa kwenye elimu ya watoto na jinsi utakavyowaacha siku unakufa. Kuvaa ni kustiri uchi tu. Nguo yoyote inaweza hilo.
Ila sa nyingine motivational speakers huwa ni waongo....
Hivi hii Ina kweli

Eti tabia za matajiri huamka mapema asubuhi na kuchelewa kulala kutokana na kufanya kazi muda mwingi.....

Huwa hawavai vizuri kwasababu hawatumii muda wao mwingi kuchagua nguo bali kutafuta Pesa.....

Hutumia pesa kwa akili na kuwekeza ili ziongezeke na sio kutumia bila mipango madhubuti...

Husoma vitabu sana na kuongeza maarifa badala ya kutumia Simu au kuperuzi mitandaoni muda wote

Motivational speakers mnatupiga uongo nyie mnatafuta hela mnajidai wahamasishaji

#Iam Zagarino
 
Matajiri njooni mjibu.. mkituachia sisi kwangu kukavu tia mchuzi tutatukanana bure hapa..
Ni kweli,kuna muda hata tunasahau hata wake zetu kama tunao,wahuni wanatugongea,wanasimamia na kucha kwa wake zetu. Hizi hela hizi. Mwaka ujao nitasimama kuzitafuta
 
Kwani wewe unalala masaa 8 kwa siku? Utakuwa hauna kazi basi. Hata chuoni haiwezekani kulala masaa 8. Labda kama uko shule ya msingi basi unaweza. Hata wastaafu hawalali masaa 8. Ukishakuwa mtu mzima, inakuwa vigumu kupata usingizi kiasi hicho.

Ukishakua na wewe hautojali sana kuvaa. Na wala siyo lazima uwe tajiri. Mawazo yako yanakuwa kwenye elimu ya watoto na jinsi utakavyowaacha siku unakufa. Kuvaa ni kustiri uchi tu. Nguo yoyote inaweza hilo.
Ila matajiri wanawake nao hawavaagi vizuri au la
Kwasababu nahisi hapa tumebase kwenye matajiri wa kiume tu
 
Kuna level flan ya maisha ukifikia plus majukumu uliyonayo

utajikuta automaticaly huwezi lala masaa 8,huwezi weka kipaumbele

kwenye muonekano wako,kikubwa umevaa vizuri inatosha,wala haina

cha uwe tajiri wala maskini jeuri ni Maisha tu yanakufanya uwe hivyo bila hata kelele.
 
Back
Top Bottom