Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Make Tanzania great again
ooooh.......Sasa si tu-make.....🤔
Make Tanzania great again
Make Tanzania Great Againhivii jamani naomba mnielewesheni nini maana ya neno ”MATAGA".
Nimona likitumuka sana lakin kwa bahat mbaya sifaham maana au kiref chake...mwenye ufaham tafadhali aniondoe ujinga.
Mataga ni akina nani jamani mtufahamishe na wengine tujiunge![]()
Make Tanzania great Again baada ya mafisadi kuichezea
sio mzalendoTatizo lao wanadhani kila mtu anakubaliana na mawazo yao, na kila mtu anaunga mkono mambo yao.
Ile dhana kwamba kila msanii ni wakwao, sasa huyu kakataa kutumika hovyo, utasikia ni CHADEMA huyo.
Hili ni mara ya nne naona humu ndani tunadhalilishana na kuonekana wote hatuna akili kisa kauli ya kenge wachache kupewa nguvu kwenye msafara wa mamba.
Nianzie hapa, ndugu zangu Chama changu kina vijana wa kila aina na kila sekta ambao wana upeo mkubwa sana katika kudadavua mambo lakini kwa bahati mbaya wasio na akili ndio wanapewa nguvu za kutuongoza wenye akili mpaka inafika wakati unaona bora ukae pembeni.
Huwezi kuamini hili nimelikuta Tweeter lakini jana tu tumetoka kubishana kuwa hiki kitatu cost wasio na akili sababu wamepewa nguvu kutuongoza wenye akili katika kitengo chetu basi wamefanya ujinga wao na umewa backfire.
View attachment 1243048
Kipindi Dr Salim anapambana ili China ipate kiti UN.Teh...!
Lini Tanzania ilikuwa Great!?
CCM huwa wanajitekenya na kucheka wenyewe.
MAKE TANZANIA GREAT AGAIN. AKA Chama cha majambazi.hivii jamani naomba mnielewesheni nini maana ya neno ”MATAGA".
Nimona likitumuka sana lakin kwa bahat mbaya sifaham maana au kiref chake...mwenye ufaham tafadhali aniondoe ujinga.
Wewe dada upo ? Sijakuona siku nyingi saana.Mataga ni nini........?.......
Kila mahali naona hii.......
Kwao ukikubali kutumika hovyo hovyo kwa maslahi yao, ndio unakuwa mzalendo!sio mzalendo
hivii jamani naomba mnielewesheni nini maana ya neno ”MATAGA".
Nimona likitumuka sana lakin kwa bahat mbaya sifaham maana au kiref chake...mwenye ufaham tafadhali aniondoe ujinga.
Kesho tuLady Jay Dee anajitafutia makuu, sasa hivi atapewa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha
MAKE TANZANIA GREAT AGAINMataga ni nini........?.......
Kila mahali naona hii.......




Lumumba baby ikulu inasingiziwa tuHahaha ndio wako ikulu au lumumba?
Nenda kwa mjumbe wa mtaa wako chukua kadi ya chama tayar ushakuwa Mataga ila shobo ndio zitakazo kupandisha ufike tulikoMna membership card au tunajiungaje huko? Na mnapatikana wapi.
Angalia awamu hii ya tano mtatema sana nyongoTeh...!
Lini Tanzania ilikuwa Great!?
CCM huwa wanajitekenya na kucheka wenyewe.
MATAGA
MAKE TANZANIA GREAT AGAIN.
WALIIGA KWA TRUMP
MAKE AMERICA GREAT AGAIN!
TEH TEH TEH