MATAGA tunadhalilishana sana

MATAGA tunadhalilishana sana

hivii jamani naomba mnielewesheni nini maana ya neno ”MATAGA".
Nimona likitumuka sana lakin kwa bahat mbaya sifaham maana au kiref chake...mwenye ufaham tafadhali aniondoe ujinga.
Make Tanzania Great Again
 
Teh...!
Lini Tanzania ilikuwa Great!?

CCM huwa wanajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Tatizo lao wanadhani kila mtu anakubaliana na mawazo yao, na kila mtu anaunga mkono mambo yao.
Ile dhana kwamba kila msanii ni wakwao, sasa huyu kakataa kutumika hovyo, utasikia ni CHADEMA huyo.
sio mzalendo
 
Hili ni mara ya nne naona humu ndani tunadhalilishana na kuonekana wote hatuna akili kisa kauli ya kenge wachache kupewa nguvu kwenye msafara wa mamba.

Nianzie hapa, ndugu zangu Chama changu kina vijana wa kila aina na kila sekta ambao wana upeo mkubwa sana katika kudadavua mambo lakini kwa bahati mbaya wasio na akili ndio wanapewa nguvu za kutuongoza wenye akili mpaka inafika wakati unaona bora ukae pembeni.

Huwezi kuamini hili nimelikuta Tweeter lakini jana tu tumetoka kubishana kuwa hiki kitatu cost wasio na akili sababu wamepewa nguvu kutuongoza wenye akili katika kitengo chetu basi wamefanya ujinga wao na umewa backfire.

View attachment 1243048

Wameimba nyimbo zote za sifa na kuabudu sasa WANAINGILIA REGGAE
 
Mataga ni nini........?.......
Kila mahali naona hii.......
Wewe dada upo ? Sijakuona siku nyingi saana.
MATAGA ni watu wanaounga mkono juhudi za mh rais ya kufanya tanzania mpya.
 
ni kifupi cha "Make Tanzania Great Again"(MATAGA)
hivii jamani naomba mnielewesheni nini maana ya neno ”MATAGA".
Nimona likitumuka sana lakin kwa bahat mbaya sifaham maana au kiref chake...mwenye ufaham tafadhali aniondoe ujinga.
 
Hawa jamaa wana vituko sana, kwani ni lazima kila kitu uige? Eti Make Tanzania Great Again, ni lini Tanzania ilikua Great?
Hamtaki hata kusumbua vichwa vyenu kuwaza slogani mpya
 
MATAGA
MAKE TANZANIA GREAT AGAIN.

WALIIGA KWA TRUMP
MAKE AMERICA GREAT AGAIN!

TEH TEH TEH

Trump ndio kaiga kwetu

Trump kamkuta Chuma kipo Mamlakani na tukitumia kauli hiyo tangu 2016
 
Back
Top Bottom