Maswali ya Watanzania kwa Mzee Lowassa

Maswali ya Watanzania kwa Mzee Lowassa

Mleta mada ushabiki umekuondolea utashi umekuwa tutusa maswali gani ya kitoto hivyo jifunze kuwa na argument zenye mashiko kidogo hamna swali la mama hata moja na ni mvivu sana kushirikisha akili na hilo tatizo ameliona ndo maana amekazia sana ELIMU
 
Chama makini hakiwezi kuogopa kutamka neno FISADI

FISADI AU MAFISADI? Escrow, Meremeta, TanGold, Buzwagi, Stamico, Twin Towers, Radar, Twiga, NBC, Kiwira, Barrick, Alex Stewart, Samax, Shivacom, IPTL, Loliondo, Mkapa, Kikwete, Mkono, Karamagi, Ballali, Tibaijuka, Ngeleja, Chenge, Rugemalira, Yona, Mramba, Mgonja, Rostam, Kinana, Madabida....etc etc.

CCM kweli chama makini.
 
Mimi nadhani alichokishindwa jana ndugu Lowassa ni kushindwa kusema atatatua vipi matatizo aliyoyaona TANDALE na kwenye daladala. Maana alipanda daladala akaenda na Tandale ili ajue matatizo ya wananchi, kwa maana hiyo sidhani kama atakuwa na majibu ya hayo maswali, labda tuyapeleke kwa watoto wa shule, majibu yatapatikana.
 
Ebwana, ndugu yangu haya maswali akiyapata atakuambia uende website ukagoogle, maana sasa hivi sijui ubongo umechoka au vipi, kugoogle ndiyo habari yao. Nawasikitikia watanzania ambao hawezi kugoogle japo wengi wetu umeme tunao.
 
Baada ya kufuatilia hotuba yako ya ufunguzi wa kampeni za UKAWA jangwani kwa umakini mkubwa, naomba Mzee Edward Ngoyai Lowassa unisaidie mimi na wananchi wenzangu wa TANZANIA kujibu maswali haya;




  1. WANAMABADILIKO;
Watanzania wamechoshwa na Rushwa, wanachukia UFISADI, Mzee unamkakati gani dhidiya wala rushwa na mafisadi..?



  1. MAMA NTILIE;
Kilio chetu ni juu ya mgambo kutusumbua na mazingira mabovu ya biashara,tukakulalamikia bei kubwa ya vyakula na mazao, jibu letu liko wapi..?au atakuja kutujibu Babu Seya ukishamtoa jela..?



  1. MADALADALA;
Mzee tulikubeba kutoka Masaki mpaka Gongo la mboto, njia nzima tukikueleza kero zetu, Hatujakusikia ukisema kitu kuhusu usumbufu wa Traffic na kutunyang'anya leseni zetu..?



  1. WAKAZI WA DAR;
Mzee tumekupa mapokezi ya kufa mtu, lakini unajua kuwa tumeamka saa kumina moja alfajir ili kuwahi mkutano wako wa saa tisa Jangwani, Tatizo la foleni na shida ya Usafiri haujazungumzia kabisa...Mzee umetusahau..?



  1. WANAFUNZI;
Elimu bure kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu, sawa ila Mzee kwa mapato gani..? Au ndio muendelezo wa maigizo..?



  1. WACHUMI;
Sarafu yetu imeendelea kushuka kwa kasi ya ajabu, imetoka kuwa hela ya madafu imekuwa hela ya pipi, Mzee na hili nalo umelisahau..?



  1. WANASHERIA:
Nini maana ya utawala wa sheria unaouzungumzia..? ipi haki ya watoto waliolawitiwa kinyume na maumbile na Babu Seya na Wanawe, au Mzee unaujua Ukweli ambao hautaki kutuambia..?





  1. WAZANZIBARI;
Ni upi msimamo wako na maoni yako juu ya Katiba inayopendekezwa..kuwa Muwazi..?
MZEE hauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwa kwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambie mahusiano yako na UAMSHO..?



  1. WAGONJWA;
MZEE watanzania wenzako tunaumwa Mzee..,Nini Hatma ya Afya za Watanzaniaau WEWE mwenzetu sio mgonjwa..?



  1. WANAMABADILIKO;
MZEE tuliahidiwa SLAA atahudhuria jangwani na kuipa nguvu mpya kasi ya mabadiliko, Mzee mlimsahau au ilikuwa ni Changa la macho..?



  1. VIJANA;
MZEE ulisema tatizo la ajira ni bomu, ila hatujakuelewa, ina maana umetuacha tulipuke au mkakati wetu uko kwa Balal..?



  1. WANAKIJIJI;
MZEE umetukomoa au umefanya kwa bahati mbaya kutuwekea hotuba yako kwenye Intaneti, haujui zaidi ya watanzania asilimi 80 hawajui kitu kinaitwa Intaneti..?



  1. WATUMISHI;
MZEE, mishahara yetu haikidhi mahitaji, gharama za maisha ni ghali mno..mbona hatujakusikia ukitutaja, au sisi ni mpango wa kando..?



  1. WACHUMI;
MZEE, nini hatma ya mchumi mwenzetu Prof Lipumba katika genge la wanamabadiliko, au umemchukua TAMBWE Hizza Mhitimu wa darasa la saba kuwa mbadala..?


Nadhani kuna swali la mwisho linaweza likawa la muhimu, ni kwanini hatoweza kunadi sera zake nchi nzima, maana nilisikia wanasema mzee hatotembea nchi nzima, au sijui watatumia website kufanya kampeni, au watarekodi kama walivyofanya jana halafu wawatumie wananchi video kwa website
 
Kwani aliyetoa post ni mwana CCM au mwananchi wa kawaida? Kwa upande wangu haya ni maswali ya msingi kujua majibu yake, jana ndugu EL alisoma hotuba lakini sikuielewa yampasa afafanue kiundani zaidi, tunataka mabadiliko lakini ni mabadiliko yapi?

Mkuu huyo muanzishi wa thread tunamfaham ni gamba.
 
Mleta mada ushabiki umekuondolea utashi umekuwa tutusa maswali gani ya kitoto hivyo jifunze kuwa na argument zenye mashiko kidogo hamna swali la mama hata moja na ni mvivu sana kushirikisha akili na hilo tatizo ameliona ndo maana amekazia sana ELIMU
Mbona maswali yote hapo ni ya msingi? alafu upande wa elimu, ilitakiwa aelezee hiyo pesa ya kuendeshea elimu ili iwafikie wananchi kama ya bure ataipata ktk vyanzo vipi vya pesa! Unapoongea elimu, kuna miundo mbinu ya elimu, malipo ya walimu na pesa ya kujikidhi ya wanafunzi. Atazitoa wapi hizo pesa????
 
Inasikitisha ninapoona watu munataka mabadiliko lakini mukiulizwa mabadiliko gani munataka eti CCM itoke madarakani basi mumemaliza…!!! Sasa mbona kama hamjui mnachotaka…!!! Kuondoka CCM madarakani ndio kumepunguza maisha magumu mwa watanzania? Ndio kumeondoa kero za muungano, ndio wananchi wamepata maisha bora? Ebu tujitafakhari walau kidogo basi.

tunachotaka ni ccm iondoke tu, mambo mengine tutajua mbele ya safari
 
Baada ya kufuatilia hotuba yako ya ufunguzi wa kampeni za UKAWA jangwani kwa umakini mkubwa, naomba Mzee Edward Ngoyai Lowassa unisaidie mimi na wananchi wenzangu wa TANZANIA kujibu maswali haya;



  1. WANAMABADILIKO;
Watanzania wamechoshwa na Rushwa, wanachukia UFISADI, Mzee unamkakati gani dhidiya wala rushwa na mafisadi..?



  1. MAMA NTILIE;
Kilio chetu ni juu ya mgambo kutusumbua na mazingira mabovu ya biashara,tukakulalamikia bei kubwa ya vyakula na mazao, jibu letu liko wapi..?au atakuja kutujibu Babu Seya ukishamtoa jela..?



  1. MADALADALA;
Mzee tulikubeba kutoka Masaki mpaka Gongo la mboto, njia nzima tukikueleza kero zetu, Hatujakusikia ukisema kitu kuhusu usumbufu wa Traffic na kutunyang'anya leseni zetu..?



  1. WAKAZI WA DAR;
Mzee tumekupa mapokezi ya kufa mtu, lakini unajua kuwa tumeamka saa kumina moja alfajir ili kuwahi mkutano wako wa saa tisa Jangwani, Tatizo la foleni na shida ya Usafiri haujazungumzia kabisa...Mzee umetusahau..?



  1. WANAFUNZI;
Elimu bure kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu, sawa ila Mzee kwa mapato gani..? Au ndio muendelezo wa maigizo..?



  1. WACHUMI;
Sarafu yetu imeendelea kushuka kwa kasi ya ajabu, imetoka kuwa hela ya madafu imekuwa hela ya pipi, Mzee na hili nalo umelisahau..?



  1. WANASHERIA:
Nini maana ya utawala wa sheria unaouzungumzia..? ipi haki ya watoto waliolawitiwa kinyume na maumbile na Babu Seya na Wanawe, au Mzee unaujua Ukweli ambao hautaki kutuambia..?





  1. WAZANZIBARI;
Ni upi msimamo wako na maoni yako juu ya Katiba inayopendekezwa..kuwa Muwazi..?
MZEE hauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwa kwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambie mahusiano yako na UAMSHO..?



  1. WAGONJWA;
MZEE watanzania wenzako tunaumwa Mzee..,Nini Hatma ya Afya za Watanzaniaau WEWE mwenzetu sio mgonjwa..?



  1. WANAMABADILIKO;
MZEE tuliahidiwa SLAA atahudhuria jangwani na kuipa nguvu mpya kasi ya mabadiliko, Mzee mlimsahau au ilikuwa ni Changa la macho..?



  1. VIJANA;
MZEE ulisema tatizo la ajira ni bomu, ila hatujakuelewa, ina maana umetuacha tulipuke au mkakati wetu uko kwa Balal..?



  1. WANAKIJIJI;
MZEE umetukomoa au umefanya kwa bahati mbaya kutuwekea hotuba yako kwenye Intaneti, haujui zaidi ya watanzania asilimi 80 hawajui kitu kinaitwa Intaneti..?



  1. WATUMISHI;
MZEE, mishahara yetu haikidhi mahitaji, gharama za maisha ni ghali mno..mbona hatujakusikia ukitutaja, au sisi ni mpango wa kando..?



  1. WACHUMI;
MZEE, nini hatma ya mchumi mwenzetu Prof Lipumba katika genge la wanamabadiliko, au umemchukua TAMBWE Hizza Mhitimu wa darasa la saba kuwa mbadala..?

Haya matatizo yote yamesababishwa na CCM. Solution ni kuiondoa CCM madarakani
 
Mimi sio CCM we dada Uloda. Wala sio UKAWA, ila naichukia CCM km Ukoma. Ninachotaka ni CCM tu itoke madarakani tuanze upya km taifa. Tumechoka na unafiki. Sina chama chochote cha siasa. Ila nimekupeni ushauri huu wa bure nyie majizi, matapeli, walaghai na mafisadi wa CCM
Kamanda dizaini kama umepanick hivi...??
 
Haunijui na haitatokea ukanijua..mimi sijulikani na MALOFA..

Unajua umeanza kinafiki uka-comment kama mwanaCCM, kumbe kimsingi we ni lofa unayejifananisha na watu wema wa zama hizi (wanaCCM)

UKAWA ndio LOWASSA na LOWASSA ndio UKAWA...Hii ni ajabu Kuu, natamani nipate fursa ya kumuuliza Mzee LOWASSA swali la nyongeza baada ya Maswali hayo ya watanzania hapo juu..

Nikipata fursa nitamuuliza Mzee, MAANA YA UKAWA ni nini..? naamini MZEE atachemka hilo swali..

Duh! Ngoja niishie hapa nisije nikajikuta naharibu jumapili yangu kwa ajili ya kumjibu huyu Mrs CCM (viongozi only).
Heri niseme tuu Nguruwe pita Leo sina mshale.
 
  1. WANAMABADILIKO;

Watanzania wamechoshwa na Rushwa, wanachukia UFISADI, Mzee unamkakati gani dhidiya wala rushwa na mafisadi..?
(Una maanisha mafisadi waliopo saiv serikalini au wapya watakao jitokeza mbeleni?Manake wala rushwa na mafisadi waliopo saivi ni matokeo ya kukosekana kwa uwajibikaji wa watawala jambo ambalo mzee amehaidi uwajibikaji utapewa kipaumbele na hilo linafahamika anaweza hata kabla hajaomba ridhaa ya kuongoza nchi)



  1. MAMA NTILIE;

Kilio chetu ni juu ya mgambo kutusumbua na mazingira mabovu ya biashara,tukakulalamikia bei kubwa ya vyakula na mazao, jibu letu liko wapi..?au atakuja kutujibu Babu Seya ukishamtoa jela..?

(Kodi za kilimo na mifugo zimefutwa hivyo bei itakusha,kwa kutumia katiba ya wananchi,mgombo hawatakua tena na namna ya kuwasumbua sio ninyi tu,ila kila raia wa nchi hii.Kuhusu mazingira mabovu ya kibiasha,ndiyo maana nilichukua hatua ya kuwatembelea,nimeona nipeni kura nitarudi hapohapo na mkakati kazi wa suala hilo,usinielewe vibaya,babu yesa nimesema kwa wakati muafaka atatolewa kwa kufuata utawala wa sheria)


  1. MADALADALA;

Mzee tulikubeba kutoka Masaki mpaka Gongo la mboto, njia nzima tukikueleza kero zetu, Hatujakusikia ukisema kitu kuhusu usumbufu wa Traffic na kutunyang'anya leseni zetu..?
(Nilipanda daladala kujionea adha mnayopata,tariffic nimeshawahaidi nyumba bora na maslahi bora,hilo litawafanya wasiwe na njaa ya kuwasumbua tena,)


  1. WAKAZI WA DAR;

Mzee tumekupa mapokezi ya kufa mtu, lakini unajua kuwa tumeamka saa kumina moja alfajir ili kuwahi mkutano wako wa saa tisa Jangwani, Tatizo la foleni na shida ya Usafiri haujazungumzia kabisa...Mzee umetusahau..?
(Ondoa shaka,mimi mwenyewe nimeishi kwenye hili jiji kwa muda mrefu,japo wakati mwingine mimi hupita kwa vingora,nimeshafanya ziara kwa daladala nimejionea mwneye na nimesema maendeleo yetu sio suala la kisekta,ni la sekta zote ikiwepo ya barabara,jibu sahihi la msongamano wa barabara nipo kwangu,nipe kura yako)





  1. WANAFUNZI;

Elimu bure kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu, sawa ila Mzee kwa mapato gani..? Au ndio muendelezo wa maigizo..?
(Kwa kupunguza safari za raisi lukuki nje ya nchi na msafara mkubwa wa watu wasiokuwa na tija,kupunguza manunuzi na matumizi ya mashangingi kwa viongozi wa umma wakati wanaishi masaki ambapo barabara ni nzuri,nitawanunulia toyota vitara,kuthibiti mianya ya rushwa na ukwepeji kodi,sekta ya madini na gesi kutumika kuchangia elimu yenu)





  1. WACHUMI;

Sarafu yetu imeendelea kushuka kwa kasi ya ajabu, imetoka kuwa hela ya madafu imekuwa hela ya pipi, Mzee na hili nalo umelisahau..?
(Niwape pole watanzania kwa hali hii iliyosababishwa na CCM,shillingi yetu itaimarika kwa kasi sana kama tukiimarisha uchumi wa ndani,kwa kuanza kusafiriza bidhaa vingi zaidi nje na hili litafanykia kupitia viwanda vya usindikaji nilivyowahaidi kuwa nitavianzisha.Tutapunguza uingizaji wa vibadhaa kutoka nje ambavyo vinaweza kutengenezwa hapa nchini hasa za samani,hivyo tutaweza kuimarisha shilingi yetu na uchumi kwa ujumla)



  1. WANASHERIA:

Nini maana ya utawala wa sheria unaouzungumzia..? ipi haki ya watoto waliolawitiwa kinyume na maumbile na Babu Seya na Wanawe, au Mzee unaujua Ukweli ambao hautaki kutuambia..?

(Utawala wa sheria ni utawala unaofanya mambo yake kwa kufuata katiba ya wananchi,sheria na taratibu za nchi,kwa maelezo zaidi rejea somo la uraia darasa la nne,kuhusu babu seya,kuna mengi yanasemwa lakini utawala wangu hauna lengo la kuingilia muhimili wa mahakama ndo maana nimesema kwa kufuata utawala wa sheria na kwa wakati muafaka hilo litafanyika)




  1. WAZANZIBARI;

Ni upi msimamo wako na maoni yako juu ya Katiba inayopendekezwa..kuwa Muwazi..?
MZEE hauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwa kwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambie mahusiano yako na UAMSHO..?
(Msimamo wangu ni kama nilivyosema,nchi hii inahtaji katiba ya wananchi,sio katiba ya watawala,kuhusu kundi la uhamsho,uhusiano wangu na wao upo kwenye misingi ya haki na utawala bora,kwa mantiki hiyo hili kundi lina haki ya kupata haki kwa msingi uleule wa utawala wa sheria)



  1. WAGONJWA;

MZEE watanzania wenzako tunaumwa Mzee..,Nini Hatma ya Afya za Watanzaniaau WEWE mwenzetu sio mgonjwa..?
(Hujaeleweka,ni watanzania wote ndo wanaumwa au?hatma ya afya za watanzania zipo mikononi mwao,kwenye kadi zao za kupigia kura,tuiondoe CCM madarakani na kama ilivyohaidi kwenye ilani,wananchi mtapata bima ya afya nafuu,tutajenga hospitali za kisasa kuepuka watu kwenda nje kutibiwa na kama alivyosema mgombea mwenzangu duni,tutaimarisha afya ya mama na mtoto na kutoa lishe bora)



  1. WANAMABADILIKO;

MZEE tuliahidiwa SLAA atahudhuria jangwani na kuipa nguvu mpya kasi ya mabadiliko, Mzee mlimsahau au ilikuwa ni Changa la macho..?
(hiyo siyo ssehemu ya ilani ya chama changu na sio hitaji la watanzania kwa sasa,pamoja na hilo mimi sio msemaji wa mambo ya ndani ya chama changu)



  1. VIJANA;

MZEE ulisema tatizo la ajira ni bomu, ila hatujakuelewa, ina maana umetuacha tulipuke au mkakati wetu uko kwa Balal..?
(nimeshaeleza tena kwa kirefu sana,mikakati ya kuongeza kasi ya upatikanaji wa ajira kwa vijana ikiwepo kuanzisha viwanda kupatua kilimo na ufugaji,kupunguza kodi kwenye sekta zinazoongeza ajira ili kuchochea ukuaji na kupitia uanzishaji wa vyuo vya ufundi fursa za kujiajiri zitaongezeka zikichakizwa na utoaji wa mikopo ya riba nafuu kwa vijana)





  1. WANAKIJIJI;

MZEE umetukomoa au umefanya kwa bahati mbaya kutuwekea hotuba yako kwenye Intaneti, haujui zaidi ya watanzania asilimi 80 hawajui kitu kinaitwa Intaneti..?
(Ninyi huko kijiji ondoeni shaka,ndo nimezindua tu leo kampeni nitakuja huko nitaongea na ninyi na mtayapata yote yaliopo kwenye ilani yangu live)



  1. WATUMISHI;

MZEE, mishahara yetu haikidhi mahitaji, gharama za maisha ni ghali mno..mbona hatujakusikia ukitutaja, au sisi ni mpango wa kando..?
(Ilivyo hata ukipandisha mishahara mara kumi,kama uchumi wa nchi umedorora bado mshahara huo hautawatosha,laikin tukiimarisha uchumi kwa kuanzisha viwanda,kupanua kilimo na ufugaji,afya,maji na elimu hata mshahara unaopata utakuwa na uwezo wa kuwasaidia,sina nia kuwa sitawaboreshea maslahi,hapana ndo maana nimewataja walimu na wafanyakazi ya sekta ya afya,hapo ni pa kuanzia tu,)



  1. WACHUMI;

MZEE, nini hatma ya mchumi mwenzetu Prof Lipumba katika genge la wanamabadiliko, au umemchukua TAMBWE Hizza Mhitimu wa darasa la saba kuwa mbadala..?
(sio sehemu ya ilani wala halina maslahi kwa watanzania)
 
Duh! Ngoja niishie hapa nisije nikajikuta naharibu jumapili yangu kwa ajili ya kumjibu huyu Mrs CCM (viongozi only).
Heri niseme tuu Nguruwe pita Leo sina mshale.
Ungepita kimya kimya tu...,sasa hapo kwa mfano sisi tunaopitia comment tunapata nini kwa comment yako kama sio kutupotezea muda tu..acha #ULOFA
 
tunachotaka ni ccm iondoke tu, mambo mengine tutajua mbele ya safari
We ni wa kuwahishwa MILEMBE...maana haujui unachokitaka na umekata tamaa..

Taifa hilio halitajengwa na waliokata tamaa ama wenye safari ya matumaini, Taifa litajengwa na WAADILIFU, wachapakazi na wawajibikaji, nyie mnaweza kutusubiri kwa sasa #hapa KAZI tu.
 
Habarini wadau,

Yaani nawashangaa sana wana CCM wenzangu,mbona kama tunamfuatilia sana Lowassa na kuipa promo sana UKAWA? kwasababu hata tukiiongelea in a negative side ni kama kuwaogopa flan hivi na wanazidi kupata popularity.

Kwanini tusitumie muda mwingi kuunga mkono sera ya Mgombea wetu Mh. John Pombe Magufuli na hata kumsupport? Tuwaachie UKAWA na mambo yao.

Ni mtazamo tu.

Kidumu chama cha mapinduzi.

Walibadilisha ikawa "Kigumu chama cha mapinduzi"
 
Kwani aliyetoa post ni mwana CCM au mwananchi wa kawaida? Kwa upande wangu haya ni maswali ya msingi kujua majibu yake, jana ndugu EL alisoma hotuba lakini sikuielewa yampasa afafanue kiundani zaidi, tunataka mabadiliko lakini ni mabadiliko yapi?

Kwamba wewe hujui kuwa Juliana Shonza ni ccm, tena yeye na mwambamba walipewa heshima ya kupokelewa na kikwete walipohama cdm!?
 
We ni wa kuwahishwa MILEMBE...maana haujui unachokitaka na umekata tamaa..

Taifa hilio halitajengwa na waliokata tamaa ama wenye safari ya matumaini, Taifa litajengwa na WAADILIFU, wachapakazi na wawajibikaji, nyie mnaweza kutusubiri kwa sasa #hapa KAZI tu.

Umasikini wa Tanzania umesababishwa na CCM.. Solution ni kuiondoa tu madarakani
 
Mimi nadhani kuna haja ya kuzipima akili zetu, maan tunaona lakini hatufahamu. Tunaacha kuyafikiria mambo ya msingi na kupata majibu ya maswali haya, tunaleta ushabiki. K

Mambo ya kumsingi utayapata wapi, ccm!!?
 
Back
Top Bottom