Maswali ya Watanzania kwa Mzee Lowassa

Maswali ya Watanzania kwa Mzee Lowassa

Juliana Shonza

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
2,009
Reaction score
1,609
Baada ya kufuatilia hotuba yako ya ufunguzi wa kampeni za UKAWA jangwani kwa umakini mkubwa, naomba Mzee Edward Ngoyai Lowassa unisaidie mimi na wananchi wenzangu wa TANZANIA kujibu maswali haya;



  1. WANAMABADILIKO;
Watanzania wamechoshwa na Rushwa, wanachukia UFISADI, Mzee unamkakati gani dhidiya wala rushwa na mafisadi..?



  1. MAMA NTILIE;
Kilio chetu ni juu ya mgambo kutusumbua na mazingira mabovu ya biashara,tukakulalamikia bei kubwa ya vyakula na mazao, jibu letu liko wapi..?au atakuja kutujibu Babu Seya ukishamtoa jela..?



  1. MADALADALA;
Mzee tulikubeba kutoka Masaki mpaka Gongo la mboto, njia nzima tukikueleza kero zetu, Hatujakusikia ukisema kitu kuhusu usumbufu wa Traffic na kutunyang'anya leseni zetu..?



  1. WAKAZI WA DAR;
Mzee tumekupa mapokezi ya kufa mtu, lakini unajua kuwa tumeamka saa kumina moja alfajir ili kuwahi mkutano wako wa saa tisa Jangwani, Tatizo la foleni na shida ya Usafiri haujazungumzia kabisa...Mzee umetusahau..?



  1. WANAFUNZI;
Elimu bure kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu, sawa ila Mzee kwa mapato gani..? Au ndio muendelezo wa maigizo..?



  1. WACHUMI;
Sarafu yetu imeendelea kushuka kwa kasi ya ajabu, imetoka kuwa hela ya madafu imekuwa hela ya pipi, Mzee na hili nalo umelisahau..?



  1. WANASHERIA:
Nini maana ya utawala wa sheria unaouzungumzia..? ipi haki ya watoto waliolawitiwa kinyume na maumbile na Babu Seya na Wanawe, au Mzee unaujua Ukweli ambao hautaki kutuambia..?





  1. WAZANZIBARI;
Ni upi msimamo wako na maoni yako juu ya Katiba inayopendekezwa..kuwa Muwazi..?
MZEE hauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwa kwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambie mahusiano yako na UAMSHO..?



  1. WAGONJWA;
MZEE watanzania wenzako tunaumwa Mzee..,Nini Hatma ya Afya za Watanzaniaau WEWE mwenzetu sio mgonjwa..?



  1. WANAMABADILIKO;
MZEE tuliahidiwa SLAA atahudhuria jangwani na kuipa nguvu mpya kasi ya mabadiliko, Mzee mlimsahau au ilikuwa ni Changa la macho..?



  1. VIJANA;
MZEE ulisema tatizo la ajira ni bomu, ila hatujakuelewa, ina maana umetuacha tulipuke au mkakati wetu uko kwa Balal..?



  1. WANAKIJIJI;
MZEE umetukomoa au umefanya kwa bahati mbaya kutuwekea hotuba yako kwenye Intaneti, haujui zaidi ya watanzania asilimi 80 hawajui kitu kinaitwa Intaneti..?



  1. WATUMISHI;
MZEE, mishahara yetu haikidhi mahitaji, gharama za maisha ni ghali mno..mbona hatujakusikia ukitutaja, au sisi ni mpango wa kando..?



  1. WACHUMI;
MZEE, nini hatma ya mchumi mwenzetu Prof Lipumba katika genge la wanamabadiliko, au umemchukua TAMBWE Hizza Mhitimu wa darasa la saba kuwa mbadala..?
 
[FONT=Times New Roman, serif][FONT=Arial Narrow, sans-serif]Baadaya kufuatilia hotuba yako ya ufunguzi wa kampeni za UKAWA jangwanikwa umakini mkubwa, naomba Mzee Edward Ngoyai Lowassa unisaidie mimina wananchi wenzangu wa TANZANIA kujibu maswali haya;[/FONT][/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WANAMABADILIKO;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Watanzaniawamechoshwa na Rushwa, wanachukia UFISADI, Mzee unamkakati gani dhidiya wala rushwa na mafisadi..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]MAMANTILIE; [/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Kiliochetu ni juu ya mgambo kutusumbua na mazingira mabovu ya biashara,tukakulalamikia bei kubwa ya vyakula na mazao, jibu letu liko wapi..?au atakuja kutujibu Babu Seya ukishamtoa jela..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]MADALADALA;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Mzeetulikubeba kutoka Masaki mpaka Gongo la mboto, njia nzima tukikuelezakero zetu, Hatujakusikia ukisema kitu kuhusu usumbufu wa Traffic nakutunyang'anya leseni zetu..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WAKAZIWA DAR;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Mzeetumekupa mapokezi ya kufa mtu, lakini unajua kuwa tumeamka saa kumina moja alfajir ili kuwahi mkutano wako wa saa tisa Jangwani, Tatizola foleni na shida ya Usafiri haujazungumzia kabisa...Mzeeumetusahau..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WANAFUNZI;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Elimubure kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu, sawa ila Mzee kwamapato gani..? Au ndio muendelezo wa maigizo..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WACHUMI;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Sarafuyetu imeendelea kushika kwa kasi ya ajabu, imetoka kuwa hela yamadafu imekuwa hela ya pipi, Mzee na hili nalo umelisahau..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WANASHERIA:[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Ninimaana ya utawala wa sheria unaouzungumzia..? ipi haki ya watotowaliolawitiwa kinyume na maumbile na Babu Seya na Wanawe, au Mzeeunaujua Ukweli ambao hautaki kutuambia..?[/FONT]





  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WAZANZIBARI;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]Niupi msimamo wako na maoni yako juu ya Katiba inayopendekezwa..kuwaMuwazi..?[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]MZEEhauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwakwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambiemahusiano yako na UAMSHO..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WAGONJWA;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]MZEEwatanzania wenzako tunaumwa Mzee..,Nini Hatma ya Afya za Watanzaniaau WEWE mwenzetu sio mgonjwa..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WANAMABADILIKO;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]MZEEtuliahidiwa SLAA atahudhuria jangwani na kuipa nguvu mpya kasi yamabadiliko, Mzee mlimsahau au ilikuwa ni Changa la macho..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]VIJANA;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]MZEEulisema tatizo la ajira ni bomu, ila hatujakuelewa, ina maanaumetuacha tulipuke au mkakati wetu uko kwa Balal..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WANAKIJIJI;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]MZEEumetukomoa au umefanya kwa bahati mbaya kutuwekea hotuba yako kwenyeIntaneti, haujui zaidi ya watanzania asilimi 80 hawajui kitu kinaitwaIntaneti..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WATUMISHI;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]MZEE,mishahara yetu haikidhi mahitaji, gharama za maisha ni ghalimno..mbona hatujakusikia ukitutaja, au sisi ni mpango wa kando..?[/FONT]



  1. [FONT=Arial Narrow, sans-serif]WACHUMI;[/FONT]
[FONT=Arial Narrow, sans-serif]MZEE,nini hatma ya mchumi mwenzetu Prof Lipumba katika genge lawanamabadiliko, au mmemchukua TAMBWE Hizza Mhitimu wa darasa la sabakimkakati..?[/FONT]

😀😀😀😀😀😀 unaandika lakini....au ndo certified LOFA
 
Habarini wadau,

Yaani nawashangaa sana wana CCM wenzangu,mbona kama tunamfuatilia sana Lowassa na kuipa promo sana UKAWA? kwasababu hata tukiiongelea in a negative side ni kama kuwaogopa flan hivi na wanazidi kupata popularity.

Kwanini tusitumie muda mwingi kuunga mkono sera ya Mgombea wetu Mh. John Pombe Magufuli na hata kumsupport? Tuwaachie UKAWA na mambo yao.

Ni mtazamo tu.

Kidumu chama cha mapinduzi.

Nianze kama ulivyomaliza..kwa kujibu salamu yako iliyotukuka ya Chama kitakatifu cha CCM, Kidumu Chama Tawala.

Kwanza nikukumbushe jambo, hakuna sehemu imetajwa wala kuzungumziwa UKAWA kwenye thread yangu, labda haujaisoma ama haujaielewa, lakini thread hii imemtaja na kumzungumzia MZEE LOWASSA na ni Mzee LOWASSA pekee..

USHAURI:
Kabla ya kuandika comment yeyote, hakikisha umesoma na kuelewa kile unachotaka kukichangia.
 
YAANI CCM MNAHANGAIKA NA LOWASSA NA UKAWA HADI MNAMSAHAU MAGUFULI WENU,hahaha...Lowassa anawanyima usingizi,poleni sana
 
Unapoongelea Lowassa unaongelea UKAWA. Unapomuongelea mgonjwa wa kubadilisha damu Ulaya kutokana na kuugua ugonjwa ule mkubwa, ina maana unaongelea chama ambacho kimechoka na kuchokwa baada ya kukaa madarakani kwa muda mrefu. We dogo nakufahamu sana, hamna kitu kichwani. Ulishaharibikiwa muda mrefu. Mimi nikupe ushauri wa bure, jikiteni kumnadi zaidi mgombea wenu Dr.Magufuli lakini kwa Lowassa kumsema vibaya or whatever haitawasaidia sana. Mwaka huu Wtz wengi tumejipanga vizuri. Zaidi mnampa promo zisizo na sbb

Haunijui na haitatokea ukanijua..mimi sijulikani na MALOFA..

Unajua umeanza kinafiki uka-comment kama mwanaCCM, kumbe kimsingi we ni lofa unayejifananisha na watu wema wa zama hizi (wanaCCM)

UKAWA ndio LOWASSA na LOWASSA ndio UKAWA...Hii ni ajabu Kuu, natamani nipate fursa ya kumuuliza Mzee LOWASSA swali la nyongeza baada ya Maswali hayo ya watanzania hapo juu..

Nikipata fursa nitamuuliza Mzee, MAANA YA UKAWA ni nini..? naamini MZEE atachemka hilo swali..
 
YAANI CCM MNAHANGAIKA NA LOWASSA NA UKAWA HADI MNAMSAHAU MAGUFULI WENU,hahaha...Lowassa anawanyima usingizi,poleni sana
Magufuli alikuwa NJOMBE jana anazungumza na Watanzania wenzake wasiojua kutumia WEBUSAITI, nyie mlikuwa jangwani na MAWEBUSAITI yenu...

Kwa kuwa na mimi nilikuwa jangwani pia kumsikiliza Mzee, nikaona niwaulize maswali hayo ambayo nimeyasikia pia kwa Watanzania wenzangu wakitaka kufahamu..
 
 unaandika lakini....au ndo certified LOFA

Hope wewe ndio bingwa la lofa nyanya kabisa usie tiwa ndimu ukanona
kipi wewe unachoona sio sahihi hapo? mda mwingine sio unapinga tu bila kushirikisha ubongo nini wewe lowasa alichokufanya mpaka ukamwamini atakuletea mabadiiko ama ndio wafata mkumbo tu.
Mda mwingine tuwe tunashirikisha ubongo kama mabadiriko unayataka nenda kongo ama burundi sisi hapa tunataka maendeleo ya Dr Magufuli
 
Mimi sio CCM we dada Uloda. Wala sio UKAWA, ila naichukia CCM km Ukoma. Ninachotaka ni CCM tu itoke madarakani tuanze upya km taifa. Tumechoka na unafiki. Sina chama chochote cha siasa. Ila nimekupeni ushauri huu wa bure nyie majizi, matapeli, walaghai na mafisadi wa CCM

mwanadamu amepewa utashi wa akili wenye vionjo vya hisia kupenda na kujiskia sehemu ya kitu fulani wewe sio jiwe uweke wazi kuwa wewe ni lofa na pumbavu tu unayeshinda kuelewa msulupwete ulioung'ang'ania utakuvuka muda na wakati wowote !
 
Mimi sio CCM we dada Uloda. Wala sio UKAWA, ila naichukia CCM km Ukoma. Ninachotaka ni CCM tu itoke madarakani tuanze upya km taifa. Tumechoka na unafiki. Sina chama chochote cha siasa. Ila nimekupeni ushauri huu wa bure nyie majizi, matapeli, walaghai na mafisadi wa CCM

Naomba nianza na wewe na wasiwasi na elimu yako kwanza kama umeipata tanzania mana asilimia 90 ya waliopata elimu tanzania sio mbulura kama wewe huwez sema eti umekichoka tu chama unataka ubadilishe unazani nchi ni kama nguo kwamba utabadilisha kila mda? hiyo sio fact ya kuongea mbele ya jukwaa hili maana wanakuona chizi tu toa sababu za wewe kutaka kubadilisha chama akam huna nenda kakojoe usubili chai.
 
Mimi sio CCM we dada Uloda. Wala sio UKAWA, ila naichukia CCM km Ukoma. Ninachotaka ni CCM tu itoke madarakani tuanze upya km taifa. Tumechoka na unafiki. Sina chama chochote cha siasa. Ila nimekupeni ushauri huu wa bure nyie majizi, matapeli, walaghai na mafisadi wa CCM

Inasikitisha ninapoona watu munataka mabadiliko lakini mukiulizwa mabadiliko gani munataka eti CCM itoke madarakani basi mumemaliza…!!! Sasa mbona kama hamjui mnachotaka…!!! Kuondoka CCM madarakani ndio kumepunguza maisha magumu mwa watanzania? Ndio kumeondoa kero za muungano, ndio wananchi wamepata maisha bora? Ebu tujitafakhari walau kidogo basi.
 
YAANI CCM MNAHANGAIKA NA LOWASSA NA UKAWA HADI MNAMSAHAU MAGUFULI WENU,hahaha...Lowassa anawanyima usingizi,poleni sana

Hakuna mtu anaehangaika na lowasa_fisadi ila shauku yetu ni kutaka watanzania watambue lowasa_feki ni kidudu mtu anaetaka kujifanya kondoo msafi wakati ni mkaaa mweusi
ata maandiko ya vitabu vya dini vinasema ukimwona mtu anapotea na ukamwacha usimwambie iliyo kweli basi hata wewe umetenda dhambi
 
Hakuna mtu anaehangaika na lowasa_fisadi ila shauku yetu ni kutaka watanzania watambue lowasa_feki ni kidudu mtu anaetaka kujifanya kondoo msafi wakati ni mkaaa mweusi
ata maandiko ya vitabu vya dini vinasema ukimwona mtu anapotea na ukamwacha usimwambie iliyo kweli basi hata wewe umetenda dhambi

Na je Mzee wa ESCROW, NGELEJA,TIBAIJUKA NA CHENGE?
 
kama ameshindwa kusiamama na kutoa sera.....na kujibu maswali hapo juu yaliotajwa....katika mikutanio mikubwa kama ya UN atafanya nini.....aibu itakua ni ya tanzania nzima sio.....ukawa wala CCM...akili kumkichwa
 
Jamani huyo binti yupo? Wamemtupa sasa, anasema maswali ya watanzania au sijamuelewa? Watanzania wapi wamtume huyo kuwaulizia maswali? Aseme maswali yako kwa Lowasa sio wtz acha kutujumlisha kwenye .......wako.
 
Babu Seya wakati analawiti ulikuwepo, name unajua ushahidi gani ulipelekwa mahakamani, unajidhalilisha.
 
Umoja wa Katiba ya Wananchi. Labda na wewe ulikuwa hujui.
 
Habarini wadau,

Yaani nawashangaa sana wana CCM wenzangu,mbona kama tunamfuatilia sana Lowassa na kuipa promo sana UKAWA? kwasababu hata tukiiongelea in a negative side ni kama kuwaogopa flan hivi na wanazidi kupata popularity.

Kwanini tusitumie muda mwingi kuunga mkono sera ya Mgombea wetu Mh. John Pombe Magufuli na hata kumsupport? Tuwaachie UKAWA na mambo yao.

Ni mtazamo tu.

Kidumu chama cha mapinduzi.


Kwani aliyetoa post ni mwana CCM au mwananchi wa kawaida? Kwa upande wangu haya ni maswali ya msingi kujua majibu yake, jana ndugu EL alisoma hotuba lakini sikuielewa yampasa afafanue kiundani zaidi, tunataka mabadiliko lakini ni mabadiliko yapi?
 
Baada ya kufuatilia hotuba yako ya ufunguzi wa kampeni za UKAWA jangwani kwa umakini mkubwa, naomba Mzee Edward Ngoyai Lowassa unisaidie mimi na wananchi wenzangu wa TANZANIA kujibu maswali haya;



  1. WANAMABADILIKO;
Watanzania wamechoshwa na Rushwa, wanachukia UFISADI, Mzee unamkakati gani dhidiya wala rushwa na mafisadi..?



  1. MAMA NTILIE;
Kilio chetu ni juu ya mgambo kutusumbua na mazingira mabovu ya biashara,tukakulalamikia bei kubwa ya vyakula na mazao, jibu letu liko wapi..?au atakuja kutujibu Babu Seya ukishamtoa jela..?



  1. MADALADALA;
Mzee tulikubeba kutoka Masaki mpaka Gongo la mboto, njia nzima tukikueleza kero zetu, Hatujakusikia ukisema kitu kuhusu usumbufu wa Traffic na kutunyang'anya leseni zetu..?



  1. WAKAZI WA DAR;
Mzee tumekupa mapokezi ya kufa mtu, lakini unajua kuwa tumeamka saa kumina moja alfajir ili kuwahi mkutano wako wa saa tisa Jangwani, Tatizo la foleni na shida ya Usafiri haujazungumzia kabisa...Mzee umetusahau..?



  1. WANAFUNZI;
Elimu bure kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu, sawa ila Mzee kwa mapato gani..? Au ndio muendelezo wa maigizo..?



  1. WACHUMI;
Sarafu yetu imeendelea kushuka kwa kasi ya ajabu, imetoka kuwa hela ya madafu imekuwa hela ya pipi, Mzee na hili nalo umelisahau..?



  1. WANASHERIA:
Nini maana ya utawala wa sheria unaouzungumzia..? ipi haki ya watoto waliolawitiwa kinyume na maumbile na Babu Seya na Wanawe, au Mzee unaujua Ukweli ambao hautaki kutuambia..?





  1. WAZANZIBARI;
Ni upi msimamo wako na maoni yako juu ya Katiba inayopendekezwa..kuwa Muwazi..?
MZEE hauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwa kwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambie mahusiano yako na UAMSHO..?



  1. WAGONJWA;
MZEE watanzania wenzako tunaumwa Mzee..,Nini Hatma ya Afya za Watanzaniaau WEWE mwenzetu sio mgonjwa..?



  1. WANAMABADILIKO;
MZEE tuliahidiwa SLAA atahudhuria jangwani na kuipa nguvu mpya kasi ya mabadiliko, Mzee mlimsahau au ilikuwa ni Changa la macho..?



  1. VIJANA;
MZEE ulisema tatizo la ajira ni bomu, ila hatujakuelewa, ina maana umetuacha tulipuke au mkakati wetu uko kwa Balal..?



  1. WANAKIJIJI;
MZEE umetukomoa au umefanya kwa bahati mbaya kutuwekea hotuba yako kwenye Intaneti, haujui zaidi ya watanzania asilimi 80 hawajui kitu kinaitwa Intaneti..?



  1. WATUMISHI;
MZEE, mishahara yetu haikidhi mahitaji, gharama za maisha ni ghali mno..mbona hatujakusikia ukitutaja, au sisi ni mpango wa kando..?



  1. WACHUMI;
MZEE, nini hatma ya mchumi mwenzetu Prof Lipumba katika genge la wanamabadiliko, au umemchukua TAMBWE Hizza Mhitimu wa darasa la saba kuwa mbadala..?
hawezi kujibu hayo maswali anchoweza kusema ni kumrudisha Balali, kuwatoa mashekh, kumtoa babu Seya.Kweli ametuona malofa na wapumbavu, lakini nakubali anayohaki yakutuona hivyo kwasababu tulishangilia.
 
YAANI CCM MNAHANGAIKA NA LOWASSA NA UKAWA HADI MNAMSAHAU MAGUFULI WENU,hahaha...Lowassa anawanyima usingizi,poleni sana

Mimi nadhani kuna haja ya kuzipima akili zetu, maan tunaona lakini hatufahamu. Tunaacha kuyafikiria mambo ya msingi na kupata majibu ya maswali haya, tunaleta ushabiki. K
 
Back
Top Bottom