Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,609
Baada ya kufuatilia hotuba yako ya ufunguzi wa kampeni za UKAWA jangwani kwa umakini mkubwa, naomba Mzee Edward Ngoyai Lowassa unisaidie mimi na wananchi wenzangu wa TANZANIA kujibu maswali haya;
MZEE hauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwa kwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambie mahusiano yako na UAMSHO..?
- WANAMABADILIKO;
- MAMA NTILIE;
- MADALADALA;
- WAKAZI WA DAR;
- WANAFUNZI;
- WACHUMI;
- WANASHERIA:
- WAZANZIBARI;
MZEE hauoni tofauti ya maisha ya Wazanzibari kabla na baada ya kufungwa kwa Farid na Kundi lake..? Mzee amani imerudi Zanzibar au tuambie mahusiano yako na UAMSHO..?
- WAGONJWA;
- WANAMABADILIKO;
- VIJANA;
- WANAKIJIJI;
- WATUMISHI;
- WACHUMI;